Mitongozo ya Wanaume hawa inavutiaa sana!

Mitongozo ya Wanaume hawa inavutiaa sana!

Hahahaha hakuna hata pozi waweza jikuta hamu ya kugegeana inaishia hapo
Hahahahaha umenichekesha sana Miss natafuta alisema alikuwa na mkuryaa yeye anampapasa na panga
 
Kazi na dawa umenikumbusha kuna Mheshimiwa fulani hivi huwa anaogopeka sana ila huwa ananiambia


"DEMISS UNAJUA MIMI HUWA NATESEKA SANA KWA SABABU SIPATI MUDA WA KUONGEA MAMBO YA MAHABA KUTOKANA NA KAZI YANGU KATIKA JAMII "

Leo ndo nimeamin kuwa hata yeye akipata nafasi atatiririka sana itabid nimfundishe jf
Wala si JF tu, akiamua anaweza bila hata ya kuja huku.
[emoji2] humu asije akaambukizwa akili zetu
 
Asante saana, kama wewe ni mweupee nakuandalia ticket ya fastjet tushuke mwanza airport tuchukue shangingi mpaka simiyu ukale nyama choma na pombe ufurahie maisha
Hapo kwenye shangingi umenikumbusha yule mzee wenu wa Maswa alikuwa ananiambia unajua hapo nje limepaki lishangingi ndani kuna Bodyguard na Dereva

Nikasemaaa masaaa yote tumekaaa hapa tunakunywa bia wenyewe wapo tu wanakusubiri

Akacheka akasema mimi ni mtu mzito bhn Demiss wewe unaniona wa kawaida peke yako jinga sana wewe.
 
Hapo kwenye shangingi umenikumbusha yule mzee wenu wa Maswa alikuwa ananiambia unajua hapo nje limepaki lishangingi ndani kuna Bodyguard na Dereva

Nikasemaaa masaaa yote tumekaaa hapa tunakunywa bia wenyewe wapo tu wanakusubiri

Akacheka akasema mimi ni mtu mzito bhn Demiss wewe unaniona wa kawaida peke yako jinga sana wewe.
Naaaaam huyo atakuwa mtu mzito, maana kule kwetu ni mashangingi tuu ndiyo yanatesa, kama huna shangingi na Scania zenye mtoto huna hela, na zizi liwe na si chini ya ng'ombe mia tatu hivi
 
Hahahahaha kaka siyo kwa cheko hilooo
Nmezifurahia hizi swaga za watani zangu kwenye kuomba majamboz hahaaa...alafu demiss ujue kutongiza sio mchezo, hadi kijacho chembamba
 
Nmezifurahia hizi swaga za watani zangu kwenye kuomba majamboz hahaaa...alafu demiss ujue kutongiza sio mchezo, hadi kijacho chembamba
Wengine huwa wanatetemeka kabisa wanawake tunajionea mengi
 
Yes ukisema wasukuma na mrefer yule msukuma dactareee mkaleeeeeee mzee wa nyundo rafiki yake lekibamiaa kama unamjuaaa anahongaaaa balaaaaaa yaaan ushamba wake wote na ujanja wake wote lakin bado wanawake wanamzuzuaa, kuongeaa halijui linahonga kama halina akili nzuri yy na mdogo wake
Jembe la mkono ili bila shaka unalizungumzia zee la vyumaaaaaaa!!!!
 
Arusha umekosea iko hivi.
Niaaje asee Demisiiii, funga basi mbona speed mamaakee? nifulu *****? Unajuanini aarifu, mimi nakumaindi kiku-***, nakuvungiaga kiaina mamaake, vipi asee Demisiii tunaweza niajeniaje hiko kizaga naiti geto?
 
Arusha umekosea iko hivi.
Niaaje asee Demisiiii, funga basi mbona speed mamaakee? nifulu *****? Unajuanini aarifu, mimi nakumaindi kiku-***, nakuvungiaga kiaina mamaake, vipi asee Demisiii tunaweza niajeniaje hiko kizaga naiti geto?
Hahahahaha akiiii ukinambia hivyo nakupiga kibuti kikaleeeee
 
Naaaaam huyo atakuwa mtu mzito, maana kule kwetu ni mashangingi tuu ndiyo yanatesa, kama huna shangingi na Scania zenye mtoto huna hela, na zizi liwe na si chini ya ng'ombe mia tatu hivi
Ama kweli kwenu mashangingi ndo habari ya mjini?
 
Back
Top Bottom