Mitindo ya kulala huelezea kipimo cha mapenzi baina ya wanandoa

Mitindo ya kulala huelezea kipimo cha mapenzi baina ya wanandoa

Habari kama hii bila picha, ni sawa na mali bila daftari!!

Kuna watu wanalala kama Star Fish, ule ndio aina gani ya mlalo???
Haya sasa ndugu yangu picha hizi hapa,japo huo wa starfish sijaupata:
images[11].jpg images[7].jpg

images[6].jpg imagesCAZ03XE3.jpg

imagesCA7X7TZO.jpg sleeping3[1].jpg

imagesCA793EP2.jpg sleeping6[1].jpg



imagesCA3ALMQP.jpg



imagesCAVRGMH0.jpg
 
milal haaffect chochote ila inategemea m2 na m2 wanavyo kua wamejiwekea
 
Vizuri, ingawa nafikiri inategemea ntu na ntu
 
-- Ni kweli, wapenzi wanavyolala ina elezea mengi HOW STRONG LOVE THEY HAVE...... kuna kulala mwanaume kuweka kichwa/ uso katikati ya matiti ya mkeo.... na sometimes unageuka mwanaume unaingiza kichwa katikati ya mapaja ya mkeo, pia kupitishia miguu huku mikono ikiwa sehemu nyeti.... mwanamke kuwa juu ya mwanaume na kujiachia vizuri kichwa chake kifuani.... na mwanaume kumkumbatia mwanamke kwa nyuma na kujipinda kidogo meanwhile mwanaume kashika matiti yote mawili softly don't message maana utamsisimua kumbuka mnalala...

Hii huongeza hamasa sana sana..... si kulala hovyo hovyo kama changu na mteja wake....!!

Hahahahahaah ! Umenichekesha hapo kwenye Red, akijisahau akabana miguu, si amekunyonga! utakufa shauri lako
 
Mm napenda sana huo wa kwanza, yaani najisikia vizuriiiiiiiiiiiiii ile mbaya.
 
Mi nalala kivyangu napumzika vya kutosha na stress za Dar, mwili ukipumzika kwenye saa 10:00 usiku naamka napiga mishindo yangu ya kutosha then naamka nakoga maji bariiidi then nakula kona kutukanana na wahindi katika kutafuta riziki.
 
Huo wa kwanza mpaka nime.dindisha.
Baby wangu anaupenda hasa pale wezere linapogusa ikulu yake sana ha ha watu8 embu weka picha ya starfish mlalo niongeze maujuzi mie.
Suprise na Nicole muje huku kuna kitchenparty
 
Last edited by a moderator:
Na ukilala umemweka mtoto katikati yenu inareflect nini mkuu
nisaidie ndugu, sie wazazi watoto wetu kwa usalama wao huwalaza katikati ya kitanda.
labda anajadili wagumba na wazazi waliokuza tayari.
 
sidhan kama inadhuru...mi nalala tu vyovyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom