MeinKempf
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 11,092
- 7,236
Uume unavunjikaje?nyama huwa inavunjika?
Kwani uume ni nini? ama mkuu wewe unadhani ni kama Fupa lile la ugoko?
Uume unavunjikaje?nyama huwa inavunjika?
Acha kututisha kama ni hivyo zingeshavunjika.Hata hivyo kwani ni kuni zivunjike
bora aisee kifo cha mende ndiyo mpango mzima
Uneona eeeh, mambo ya kugeuzana geuzana utafikiri unachoma muhindi sio mpango kabisa.
kweli kabisa yaani wangezidi idadi hata wale wahanga wa boda boda.....Labda madushe ya huko brazil, huku ingekua hivyo, tungekuwa tumesha wapokea wahanga wengi kwenye hospital zetu maana "kuna nazi style " ndio habari ya mujini ..
Hahahahaha...unapendaa ..
bora aisee kifo cha mende ndiyo mpango mzima
Kweli kabisa mleta mada inabidi alete majibu hapa jukwaani ili wajumbe tuone uhalisia wa uzi wake.
Yaaani "mashine ya mwanaume " inavunjika? labda awe mwanaume wa dar anaye amka na kula ubuyu, mchana anakula baga na piza na usiku anakula urojo na maji ya Uhai kisha ana lala.
Umeona enhee ...wewe vuta hisia jinsi chombo ya mgiriki (mashine) ya mwanaume wa kisukuma au kikurya ilivyo strong enough wc multiple muscles every corner. huku akila vyakula vya kiume ...kitu iko imara kama jambia la mkoloni.
masai dada pita huku umufundishe huyu jamaa namna ya ku-mention jina langu.