Mitindo hatari wakati wa mapenzi kwa wanaume

Mitindo hatari wakati wa mapenzi kwa wanaume

me mwenyewe juzi almanusurah uume ungevunjwa kutokana na fujo zake nnapomruhusu ajipimie mwenyewe sema bado sijakoma kwasababu kwangu kumruhusu aukalie inakuaga kama njia yangu ya kupumzika kwa muda wakati nasubiri kipindi cha pili nayeye akiendelea kujipa mazoezi na kupunguza makeke yake ili kipindi chapili mim ndo niwe man of ze mechi!
 
Kabisaaaa wa miko mingine nooo kbsaaaa....

Umeona enhee ...wewe vuta hisia jinsi chombo ya mgiriki (mashine) ya mwanaume wa kisukuma au kikurya ilivyo strong enough wc multiple muscles every corner. huku akila vyakula vya kiume ...kitu iko imara kama jambia la mkoloni.
 
Mimi hiyo tafifi hainihusu, yani ile style ilivyokua mujarabu lol..anajipimia tu
 
Uneona eeeh, mambo ya kugeuzana geuzana utafikiri unachoma muhindi sio mpango kabisa.
hahaha mwishowe ukimaliza viungo vyote hoi sasa unajiuliza hile ni starehe au mazoezi.... aisee kifo cha mende its so mwaa romantic
 
Watafiti wa Brazil wabaini mtindo huu kwenye Tendo la ndoa ni hatari kwa wanaume. Wanasayansi Nchini Brazil wamefanya utafiti ili kubaini ni mtindo upi kwenye tendo la ndoa ulio hatari zaidi kwa mwanaume.

Kwa mujibu wa Utafiti huo, mtindo ambao mwanamke anakuwa juu ya mwanaume ndio hatari zaidi na huwa na risk kubwa zaidi ya kusababisha hata kuvunjika kwa uume (penile fracture).

Wanasayansi hao wanasema: Pindi mwanamke anapokuwa juu, mara zote hucontrol movement na uzito wote wa mwili wake ukitua kwenye uume uliosimama na kushindwa kuzuia pale uume unapokuwa umeingia vibaya kwasababu madhara huwa ni madogo kwa mwanamke bila maumivu lakini ni mabaya kwa mwanaume.

“Pindi mwanaume anapokuwa akicontrol movement, ana nafasi kubwa ya kuzuia kutokana na uume wake kuwa sehemu mbaya na hali inayopelekea kusikia maumivu na hivyo kupunguza hatari.


source:Bongo 5

Mkuu japo kapicha kakusindikiza utu-tuuzi.
 
Usipopiga reverse cowgirl sasa ndo mutombo gani sasa umefanya?
 
Back
Top Bottom