Wadau,
Nimekutana na maswali ya BRN yaliyotolewa na Wizara ni janga la taifa yamejaa makosa na kwa kweli Mbatia ana hoja ya msingi ingawa akisema Wizara inamsema mzushi. Hebu pitieni kisha tujadili mustakabali wa elimu yetu.
--------------------------------
--------------------------
------------------------------------
Nimekutana na maswali ya BRN yaliyotolewa na Wizara ni janga la taifa yamejaa makosa na kwa kweli Mbatia ana hoja ya msingi ingawa akisema Wizara inamsema mzushi. Hebu pitieni kisha tujadili mustakabali wa elimu yetu.
--------------------------------
--------------------------
------------------------------------