Nadhani hiyo ndiyo dawn;Hii nchi yetu ya kijamaa mtu hatarajii mgombane kisa mti wake unachungulia uwanjani kwako.
Kama ingekua inakua dawa ipo ila hapo ishaota mpaka ndevu ni ama uwe unaikata wewe mwenyewe na akija kukuongelesha unamkalia kimya au uwe unazoa majani na kutupa uwanjani kwake.
Ila pia unaweza ukapandisha ua wako kama hutaki ujinga
Nadhani hiyo ndiyo dawa hata mimi nilikuwa na tatizo kama hilo ila yeye alikuwa akisogeza mpaka mara kwa mara nikaamua kupandisha ukuta na tatizo likaisha.Hii nchi yetu ya kijamaa mtu hatarajii mgombane kisa mti wake unachungulia uwanjani kwako.
Kama ingekua inakua dawa ipo ila hapo ishaota mpaka ndevu ni ama uwe unaikata wewe mwenyewe na akija kukuongelesha unamkalia kimya au uwe unazoa majani na kutupa uwanjani kwake.
Ila pia unaweza ukapandisha ua wako kama hutaki ujinga
imwage kwenye shina,weka ngazi kwenye uzio zima umeme kwenye waya huo usipigwe shotiMkuu chumvi namwagia kwenye majani au kwenye shina?
[emoji115] [emoji115] [emoji115]nilijaribu kumwagia sufuria la chumvi ya unga kwenye mwembe wa jirani eti alikuja kuupanda kwenye mpaka,ulikauka fasta
mleta mada ulipokosea ni hizo picha ulizoweka. Kama na yeye yupo jf siatajua unachoenda kukifanya.Nakupa mbinu, ukifumwa shauri zako.
Chukua msumari...upake chumvi mbele kisha nenda kaugongelee kwenye mti wenyewe.
Usigongelee kwenye matawi....gongelea kwenye mti wenyewe mkubwa.
Ndani ya mwezi utakauka wote.
Tumekausha sana miembe na misandarusi kwa style hii.
NB:
Pigilia misumari hata 4 ila uhakikishe yote imezama mpaka ndani.
Ndani ya mwezi njoo unipe feedback
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Muda mwingne inabidi uwe mnafiki.
Tumia trick ya kwenda kujitia unawasaidia tanesco unawatosha kama "kuna mtu amepanda miti imegusa nyaya na inaweza leta shoti ikamisababishia hasara" watakuja kuikata wakimaliza kajitie unampa jirani pole huku unamsaidia kukusanya matawi kumbe unachukua kuni.
Ndugu yangu mi nakupenda sana na bado nakupenda usihangaike na hizo mbinu za ajabu ajabu ukaonekana mshirikina we nenda kwa balozi au mwenyekiti uongozi wa mtaa yaan hiyo fence tu inakupa nguvu kubwa ya ushawishi wa kukata huo mti kwasabu ni fence ya umeme .viongozi wa mtaa unawaambia kuwa mi nafence ya umeme na mti unagusa fence na siku mvua ikinyesha ?sio sehem salama tena na nashauri wakati au kupunguza mti kabla hayajatoea madharaHabarini wakuu! Naombeni msaada wa kujua nitumie njia gani ya kukausha miti ya jirani yangu, kwa kweli kwangu ni kero halafu sio mstaarabu, hata nikimuomba mimi niipunguze tunasumbuana bila sababu za msingi, nataka nipate dawa/sumu niikaushe tu kimyakimya bila kujua, sipendi magomvi nae wakuu, natesa familia yangu kusafisha uwanja kila wakati.View attachment 654248View attachment 654249View attachment 654249
Alafu Mimi ndio mwenyekiti wa mtaa namshauri aumwagie chumviKumbe umekimbilia huku kulalamika, umepata ushauri wa kuumaliza mti wangu na chumvi, sawa,Mimi pia nitashughulikia engine ya baby Walker yako na chumvi , tuone Nani chumvi itamliza
Maji ya ugali yakoje?Imwagie maji ya ugali utaleta mrejesho.
Nenda Supermarket waambie maji ya ugali watakupa Lita moja ni kwenye 3200Maji ya ugali yakoje?
Naombeni kujuzwa taratibu za kufuata ili kuweka uzio wa umeme waungwana.Ndugu yangu mi nakupenda sana na bado nakupenda usihangaike na hizo mbinu za ajabu ajabu ukaonekana mshirikina we nenda kwa balozi au mwenyekiti uongozi wa mtaa yaan hiyo fence tu inakupa nguvu kubwa ya ushawishi wa kukata huo mti kwasabu ni fence ya umeme .viongozi wa mtaa unawaambia kuwa mi nafence ya umeme na mti unagusa fence na siku mvua ikinyesha ?sio sehem salama tena na nashauri wakati au kupunguza mti kabla hayajatoea madhara
Wasipo kuelewa ripot police
Labda form one wa enzi hizo.Nenda Supermarket waambie maji ya ugali watakupa Lita moja ni kwenye 3200