Mitego mahiri ya kunasa warembo

Una bahati sana ya kupata hao wadada wa hvyo maana ninawajua mim ukitaka mgombane waambie habari za kupka ukitaka pilau kuku atakuambia twende kwa mudi mapilau au Halima biriani anapika vzr utabakia kula kwa mgahawa akimaliza anasepa zake.
Haha hahaha najifanyaga fala au boya kumbe mnyamwezi nazuga nipo mawindo
 
Katika harakati za kunasa warembo niliamua kufuga kuku kwangu ukawa ndio mtego mzuri nikipata mrembo namwambia nahamu na pilau kuku ila sijui kupika anakwambia nunua kuku mi namwambia kila kitu ninacho tatizo sijui kuandaa basi atapanga siku anakuja mapema akifika namwambia achague kuku gani nimchinje namuonesha jiko anaomba nimuoneshe chumba aingie abadili nguo sasa ndio mtihani unapoanzia anatoka na khanga moja au mtandio unaona kila kitu anaingia jikoni na kuwasha ges anaanza kukaangiza akimaliza tunakula tukimaliza anahitaji aende kuoga hapo ataomba taulo ntampa atavua nguo zote zilizobaki mwilini ataingia bafuni akitoka tu ndio mda wangu wa kumtafuna yeye huu mtego umenasa wengi sana. Lete wako tu share experienceView attachment 1088460
Umri wako mkuu tafadhali
 
Katika harakati za kunasa warembo niliamua kufuga kuku kwangu ukawa ndio mtego mzuri nikipata mrembo namwambia nahamu na pilau kuku ila sijui kupika anakwambia nunua kuku mi namwambia kila kitu ninacho tatizo sijui kuandaa basi atapanga siku anakuja mapema akifika namwambia achague kuku gani nimchinje namuonesha jiko anaomba nimuoneshe chumba aingie abadili nguo sasa ndio mtihani unapoanzia anatoka na khanga moja au mtandio unaona kila kitu anaingia jikoni na kuwasha ges anaanza kukaangiza akimaliza tunakula tukimaliza anahitaji aende kuoga hapo ataomba taulo ntampa atavua nguo zote zilizobaki mwilini ataingia bafuni akitoka tu ndio mda wangu wa kumtafuna yeye huu mtego umenasa wengi sana. Lete wako tu share experienceView attachment 1088460
Hii chai imeungwa limao/ndimu zilizo chacha
 
Unamnyonyoa mwenyewe anakuta nyama kwenye friji anachukua kiasi anakaanga
Kipindi hicho kuna jamaa tulikuwa tunaishi mtaa mmoja hatukuwa marafiki ila tulikuwa tunaonana Mara chache bas siku kaniona ananiambia naomba kesho uje unipikie maini na wali sijui kuyapika khaa nikamwambia poa bac kimoyomoyo nasema yani huyu hajui shule anayosoma Mimi ndio headmaster
 
Kipindi hicho kuna jamaa tulikuwa tunaishi mtaa mmoja hatukuwa marafiki ila tulikuwa tunaonana Mara chache bas siku kaniona ananiambia naomba kesho uje unipikie maini na wali sijui kuyapika khaa nikamwambia poa bac kimoyomoyo nasema yani huyu hajui shule anayosoma Mimi ndio headmaster
Kwahiyo uli aliambua vumbi au ulimvulia pichu
 
Back
Top Bottom