green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 11,303
- 35,850
- Thread starter
- #221
Natoa kafara kabla ya kumvua mtu chupiPole mkuu,kwa hiyo ili ugegede lazima uwe na kuku wa kuchinja
Natoa kafara kabla ya kumvua mtu chupiPole mkuu,kwa hiyo ili ugegede lazima uwe na kuku wa kuchinja
BuchaniWafuga nguruwe tunakomenti wapi ?
Duuuuhh,kumbe kufuga kuku muhimu eeehh?Katika harakati za kunasa warembo niliamua kufuga kuku kwangu ukawa ndio mtego mzuri nikipata mrembo namwambia nahamu na pilau kuku ila sijui kupika anakwambia nunua kuku mi namwambia kila kitu ninacho tatizo sijui kuandaa basi atapanga siku anakuja mapema akifika namwambia achague kuku gani nimchinje namuonesha jiko anaomba nimuoneshe chumba aingie abadili nguo sasa ndio mtihani unapoanzia anatoka na khanga moja au mtandio unaona kila kitu anaingia jikoni na kuwasha ges anaanza kukaangiza akimaliza tunakula tukimaliza anahitaji aende kuoga hapo ataomba taulo ntampa atavua nguo zote zilizobaki mwilini ataingia bafuni akitoka tu ndio mda wangu wa kumtafuna yeye huu mtego umenasa wengi sana. Lete wako tu share experienceView attachment 1088460
Sana hata bata pia wanalipa kuna mlokoke mmoja nilimtega na bata jike alinirostia kitu chakula kizuri mpaka leo naikumbuka iyo sikuDuuuuhh,kumbe kufuga kuku muhimu eeehh?
Nawe ulichinjiwa kuku nnYani hii nchi hadi kuja kuendelea rais afanye kazi kweli kweli sijui tufe wote waje watu wapya da nimecheka sana
VeteransMimi mwaka 1995 nilipotezea hesabu kwenye 95...na nilishapiga wengi sanaaaaaa...Ila sasa nimesema imetosha
Hamjuani kivip au kujuana kwa aina ganiYaani unamuita mtu hakujui humjui aje tu kisa kuku ha ha haaaaaa...hii unaweza kuuza bomgo movie.