SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,973
- 75,054
Unatumia AK47 kuua panya?
Kuna panya wengine wamevaa bullet proofUnatumia AK47 kuua panya?
Haha hahaHuyo pengine anakupenda na anatafta ndoa kwa nguvu.Mwingine ukimwambia ivo atakwambia kale mgahawani na chating inaishia hapo


Hongera mkuu maendeleo hayana chamaKatika harakati za kunasa warembo niliamua kufuga kuku kwangu ukawa ndio mtego mzuri nikipata mrembo namwambia nahamu na pilau kuku ila sijui kupika anakwambia nunua kuku mi namwambia kila kitu ninacho tatizo sijui kuandaa basi atapanga siku anakuja mapema akifika namwambia achague kuku gani nimchinje namuonesha jiko anaomba nimuoneshe chumba aingie abadili nguo sasa ndio mtihani unapoanzia anatoka na khanga moja au mtandio unaona kila kitu anaingia jikoni na kuwasha ges anaanza kukaangiza akimaliza tunakula tukimaliza anahitaji aende kuoga hapo ataomba taulo ntampa atavua nguo zote zilizobaki mwilini ataingia bafuni akitoka tu ndio mda wangu wa kumtafuna yeyehuu mtego umenasa wengi sana. Lete wako tu share experienceView attachment 1088460
Hiyo hawachomokagiMtego mwingine ni kuwa na gari!
Wanakula pumba sana nawapunguza kwa faidaacha kuonea kuku kisa nyege zako mkuu