Habari wanaJf,
Siku zote wapenzi/wanadoa hupendana sana kabla na mwanzoni mwa mahusiano lakini baadaye wengi wao mambo huwa kinyume.
Tusaidiane, ni mambo yapi husababisha wanadoa/wapenzi hawo kuachana au kugombana.
kama unampenda Mungu hata mkitofautiana kidogo/sana mtaelewana na kuzd kupendanama,hamna raha kama kumpenda Mungu nime amin asiyempenda Mungu hata ajui kupenda maana Mungu ndo upendo
kama unampenda Mungu hata mkitofautiana kidogo/sana mtaelewana na kuzd kupendanama,hamna raha kama kumpenda Mungu nime amin asiyempenda Mungu hata ajui kupenda maana Mungu ndo upendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.