Mitazamo: Mapenzi na migogoro

Mitazamo: Mapenzi na migogoro

gwabos

Senior Member
Joined
Dec 5, 2013
Posts
112
Reaction score
18
Habari wanaJf,
Siku zote wapenzi/wanadoa hupendana sana kabla na mwanzoni mwa mahusiano lakini baadaye wengi wao mambo huwa kinyume.
Tusaidiane, ni mambo yapi husababisha wanadoa/wapenzi hawo kuachana au kugombana.
 
kama unampenda Mungu hata mkitofautiana kidogo/sana mtaelewana na kuzd kupendanama,hamna raha kama kumpenda Mungu nime amin asiyempenda Mungu hata ajui kupenda maana Mungu ndo upendo
 
kama unampenda Mungu hata mkitofautiana kidogo/sana mtaelewana na kuzd kupendanama,hamna raha kama kumpenda Mungu nime amin asiyempenda Mungu hata ajui kupenda maana Mungu ndo upendo

mku upo sahihi lkn hoja ni-
mambo gani hasa yanapelekea kutoelewana/kuachana?
 
Back
Top Bottom