Mitandao ya kijamii haifanyi kazi kwenye simu yangu

Kayjo

Member
Nov 20, 2018
6
2
Msaada kwenye tuta jamani. Simu yangu hapokei data kutoka mitandao ya kijamii niliyo nayo (whatsapp, facebook, instagram na twitter) lakini Google na YouTube zinafanya kazi kama kawaida hata nikibadilisha line nyingine yenye bundle. Nikiunganisha hotspots na simu nyingine napata huduma Kama kawaida. Nifanyeje kitatua hili tatizo?
 
Kuna kaprogram kanaitwa Hi manager kapo humo kwenye simu kana pigo za kizembe sana. Fanya kukafungua afu nenda data traffic enable app unazotaka zitumie internet.
 
Msaada kwenye tuta jamani. Simu yangu hapokei data kutoka mitandao ya kijamii niliyo nayo (whatsapp, facebook, instagram na twitter) lakini Google na YouTube zinafanya kazi kama kawaida hata nikibadilisha line nyingine yenye bundle. Nikiunganisha hotspots na simu nyingine napata huduma Kama kawaida. Nifanyeje kitatua hili tatizo?
Nenda kwenye settings kisha application manager au app,all app inategemea mfumo wa simu yako baada ya click tafuta WhatsApp angalia notification hakikisha ime allowed imeruhusu kupokea notification au kama kuna kitiki pale kwenye notification hakikisha umetiki fanya hivyo na kwenye Facebook,Instagram,na Twitter naamini itakuwa sawa
 
Kuna kaprogram kanaitwa Hi manager kapo humo kwenye simu kana pigo za kizembe sana. Fanya kukafungua afu nenda data traffic enable app unazotaka zitumie internet.
Asante mkuu, tatizo limeisha.
 
Back
Top Bottom