Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Nilisema kule nyuma, na ninasema tena, sio tuu tumeingia mkataba mpya, hata deni tutalipa!.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda leo ametamka rasmi kuwa TANESCO itaingia mkataba mpya na Dowans wa kuzalisha umeme.
Amesema mitambo ya Dowans itawashwa muda wowote kuanzia sasa licha ya kesi iliyopo mahakamani kuhusu tozo ya ICC.
Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuhutubia mkutano ulioandaliwa na The Economist kwenye hoteli ya Kempinski jijini Dar es Salaam, Pinda alisema kuwa ni vyema SONGAS au kampuni nyingine binafsi inakununua mitambo ya Dowans siku zijazo ili iendelee kuzalisha umeme nchini.
Alisema hivi sasa kuna upungufu wa 160MW kwenye gridi, hivyo 100MW ya Dowans ingesaidia kupunguza makali ya mgao.
Pinda alisema serikali kununua mitambo ya Dowans imeleta maneno mengi kuwa haiwezekani serikali ikanunua mitambo iliyotumika, hivyo ameona suluhisho ni kwa SONGAS au mfanyabiashara mwingine mkubwa anunue mitambo ya Dowans na aingie kwenye mkataba wa muda mrefu na TANESCO wa kuzalisha umeme.
Tayari Baraza la Mawaziri limetoa kibali kwa TANESCO kuingia mikataba ya kukodi umeme kama ya Richmond/Dowans ili kupata 260MW.
Sasa hivi inasubiriwa bodi ya wakurugenzi ya TANESCO itoe tamko rasmi kuwa serikali itaingia mkataba mpya na DOwans.
Kweli mafisadi wa Dowans wataendelea kupora pesa za wavuja jasho wa Tanzania!
Kama kweli nyie wazalendo basi mjue kuna zaidi ya Dowans inanitia shaka nadhani kuna kitu kwenye hii Dowans ndio maana ikitajwa wote mnaruka uwiiiii, jamani tumevamiwa na longo longo jingiiiii hamjengi haja za msingi kwanini Dowans isiwasheshwe. Pengine hamfahamu kuwa IPTL yenye mkataba wa miaka 20 ndio ni kampuni ya kufua umeme ghali maradufu ya Dowans mbona yenyewe mmeinyamazia? au yenyewe haikuingia mkataba na tenesco kwa kutumia hila? Sisi wananchi lazima tuwe na upeo wa kujiuliza mambo tusikurupushwe na wanasiasa kisha tukawa tunaitikia viitikio vyao.
Umeme wa Dowans lazima uwashwe ili kuwapunguzia makali wananchi! utasaidia kuongeza production viwandani! sioni tatizo la kuwashwa mitambo ya Dowans ikiwa maslahi ya taifa yataangaliwa upya katika huo mkataba mpya. Sitapenda kulalama na kuropoka mpaka pale nitakapojua IPTL, AGGREKO na SONGAS WASAFI kiasi gani.......
My take.
Tuache ushabiki wa kishamba tuchambue hoja ili kujenga hoja...............
The Following User Says Thank You to Kyabushaija For This Useful Post:Safi sana Pinda!
Kila binadamu mwenye akili timamu lazima apende kuwa na "mchango kwenye jamii & heshima ya kutambulika pia" - "meaning & contribution" - LEGACY!
Kwa hili Pinda you will be remembered, my brother!
Safi sana Pinda!
Kila binadamu mwenye akili timamu lazima apende kuwa na "mchango kwenye jamii & heshima ya kutambulika pia" - "meaning & contribution" - LEGACY!
Kwa hili Pinda you will be remembered, my brother!
Kama kweli nyie wazalendo basi mjue kuna zaidi ya Dowans inanitia shaka nadhani kuna kitu kwenye hii Dowans ndio maana ikitajwa wote mnaruka uwiiiii, jamani tumevamiwa na longo longo jingiiiii hamjengi haja za msingi kwanini Dowans isiwasheshwe. Pengine hamfahamu kuwa IPTL yenye mkataba wa miaka 20 ndio ni kampuni ya kufua umeme ghali maradufu ya Dowans mbona yenyewe mmeinyamazia? au yenyewe haikuingia mkataba na tenesco kwa kutumia hila? Sisi wananchi lazima tuwe na upeo wa kujiuliza mambo tusikurupushwe na wanasiasa kisha tukawa tunaitikia viitikio vyao.
Umeme wa Dowans lazima uwashwe ili kuwapunguzia makali wananchi! utasaidia kuongeza production viwandani! sioni tatizo la kuwashwa mitambo ya Dowans ikiwa maslahi ya taifa yataangaliwa upya katika huo mkataba mpya. Sitapenda kulalama na kuropoka mpaka pale nitakapojua IPTL, AGGREKO na SONGAS WASAFI kiasi gani.......
My take.
Tuache ushabiki wa kishamba tuchambue hoja ili kujenga hoja...............
Kasheshe said:Du! Kweli sisi mbumbu wa mambo ya uchumi... yaani hilo nalo tatizo na wanasiasa wakombozi kama CHADEMA hawaoni ni vyema kupata 100MW kunusuru uchumi kuliko kupiga makelele yasiokuwa na maana kweli taifa limetekwa.
Kasheshe,
..kaka, hili tatizo ni la kutengenezwa.
..muda wote wahusika hawakuchukua hatua za kutunusuru wananchi kufika ktk hali hii ya uhaba wa umeme.
Safi sana Pinda!
Kila binadamu mwenye akili timamu lazima apende kuwa na "mchango kwenye jamii & heshima ya kutambulika pia" - "meaning & contribution" - LEGACY!
Kwa hili Pinda you will be remembered, my brother!
hapa bado kuna kitu kinapikwa zaidi ya hicho..Kwa kweli mimi sio muumini wa miujiza.... I can see everything openly! Kwamba mabwawa yanaelekea kukauka... hilo nalo uongo? kwamba Songas ilipata hitilafu ya mitambo yake.... amkeni Watanzania... angalieni vitu kwa mapana zaidi.