Mitambo ya analog kuwashwa tena

Kwani hizo Gharama aliyekuwa anazilipa kabla ni nani? kama kina Mengi Channel Ten walikuwa na uwezo wa kuendesha hiyo mitambo ndio mmewalazimisha waache kuwasha? na kama hiyo Mitambo ni Gharama kuiendesha hivyo mmeamua hizo Gharama mziamishie kwa Watanzania Masikini? Hogereni kwa hilo na Mi roho yenu Michafu...

Hata mimi nilisikia Tetesi kuwa JK atalazimisha kurejesha Analojia hadi hapo wananchi watakapokuwa tayari kwa Mambo ya Digital.... Hivi Ving'amuzi feki vya kichina vya Star Time ni kama wizi tu.. quality mbovu vipindi vibaya
 
Basi kwenye heading yako ungeweka alama ya kuuliza......mimi nimejua ndio unatuhabarisha........
Na mie nilijua anatoa taarifa, kwa mujibu wa heading, kumbe anauliza
 
Ina maana hujaona kuwa ni verified user!

Kuna tofauti ya mfanyakazi na msemaji. Kuna wafanyakazi wengi Tanesco ila B.M. Ndio msemaji, kuna polisi wengi ila A.S. ndio msemaji: Got my point?
 
Wakati mwingine watu wanaona kbs ni mtu toka Mamlaka husika kaja kujibu hoja
Wanakuwa hawaamini V Member nadhani hajui maana yake kwa kanuni za JF.

Sawa Bwana Much know mtu akishakuwa verified anafanya kazi mahala fulani ndio tayari anakuwa msemaji automatically na ayasemayo ndio maoni ya kampuni/institute....what a genious!
 
Hawakujiandaa wala kuandaa wananchi!
 
Hakuna mpango wowote kuwasha mitambo ya analojia Tanzania. Gharama za kuendesha mifumo yote miwili yaani analojia Na dijitali ni kubwa na endapo itabidi iwepo gharama za sasa zitakuwa mara mbili Kwa wananchi. Maandalizi yalifanyika Kwa zaidi ya miaka 8. Bofya hapa kupata taarifa. http://www.tcra.go.tz/digitalBroadcasting/roadmap.pdf
 
Post na majibu haya ni rasmi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania. Account hii ni halali Na Admin anaweza kuthibitisha.
 
Post na majibu haya ni rasmi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania.
Shukrani.... I wanted to confirm this!

Account hii ni halali Na Admin anaweza kuthibitisha.
Sikuwa na tatizo na akaunti yako ila tu mamlaka ya uliyoongea kama ni maoni yako au TCRA.

Shukrani kwa ufafanuzi!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…