Mitambo ya analog kuwashwa tena

Mitambo ya analog kuwashwa tena

Kulingana na ratiba iliyotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano, na Mipangilio ya Kuelekea Dijitali kabla ya Ukomo Wa Analojia tarehe 17 June 2015, hakuna mpango wowote wa kuwasha mitambo ya analojia kwani gharama za kuendesha mifumo yote miwili ni kubwa na hakuna wa kuzigharamia kwenye maeneo ambayo yana dijitali.
Kwani hizo Gharama aliyekuwa anazilipa kabla ni nani? kama kina Mengi Channel Ten walikuwa na uwezo wa kuendesha hiyo mitambo ndio mmewalazimisha waache kuwasha? na kama hiyo Mitambo ni Gharama kuiendesha hivyo mmeamua hizo Gharama mziamishie kwa Watanzania Masikini? Hogereni kwa hilo na Mi roho yenu Michafu...

Hata mimi nilisikia Tetesi kuwa JK atalazimisha kurejesha Analojia hadi hapo wananchi watakapokuwa tayari kwa Mambo ya Digital.... Hivi Ving'amuzi feki vya kichina vya Star Time ni kama wizi tu.. quality mbovu vipindi vibaya
 
Basi kwenye heading yako ungeweka alama ya kuuliza......mimi nimejua ndio unatuhabarisha........
Na mie nilijua anatoa taarifa, kwa mujibu wa heading, kumbe anauliza
 
Ina maana hujaona kuwa ni verified user!

Kuna tofauti ya mfanyakazi na msemaji. Kuna wafanyakazi wengi Tanesco ila B.M. Ndio msemaji, kuna polisi wengi ila A.S. ndio msemaji: Got my point?
 
Wakati mwingine watu wanaona kbs ni mtu toka Mamlaka husika kaja kujibu hoja
Wanakuwa hawaamini V Member nadhani hajui maana yake kwa kanuni za JF.

Sawa Bwana Much know mtu akishakuwa verified anafanya kazi mahala fulani ndio tayari anakuwa msemaji automatically na ayasemayo ndio maoni ya kampuni/institute....what a genious!
 
Kwani hizo Gharama aliyekuwa anazilipa kabla ni nani? kama kina Mengi Channel Ten walikuwa na uwezo wa kuendesha hiyo mitambo ndio mmewalazimisha waache kuwasha? na kama hiyo Mitambo ni Gharama kuiendesha hivyo mmeamua hizo Gharama mziamishie kwa Watanzania Masikini? Hogereni kwa hilo na Mi roho yenu Michafu...

Hata mimi nilisikia Tetesi kuwa JK atalazimisha kurejesha Analojia hadi hapo wananchi watakapokuwa tayari kwa Mambo ya Digital.... Hivi Ving'amuzi feki vya kichina vya Star Time ni kama wizi tu.. quality mbovu vipindi vibaya
Hawakujiandaa wala kuandaa wananchi!
 
Hakuna mpango wowote kuwasha mitambo ya analojia Tanzania. Gharama za kuendesha mifumo yote miwili yaani analojia Na dijitali ni kubwa na endapo itabidi iwepo gharama za sasa zitakuwa mara mbili Kwa wananchi. Maandalizi yalifanyika Kwa zaidi ya miaka 8. Bofya hapa kupata taarifa. http://www.tcra.go.tz/digitalBroadcasting/roadmap.pdf
 
Post na majibu haya ni rasmi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania. Account hii ni halali Na Admin anaweza kuthibitisha.
 
Post na majibu haya ni rasmi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania.
Shukrani.... I wanted to confirm this!

Account hii ni halali Na Admin anaweza kuthibitisha.
Sikuwa na tatizo na akaunti yako ila tu mamlaka ya uliyoongea kama ni maoni yako au TCRA.

Shukrani kwa ufafanuzi!
 
Habari wana jamvi ni jumatatu nyingine tulivu watu mbalimbali wakiwa katika mihangaiko ya kujitafutia riziki.swali langu wana jamvi je ni kweli mitambo ya analog kuwashwa tena?

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk 2[/

Nchini Uingereza pamoja na kuwepo na Digital,Analogy bado inafanya kazi.kwa wale wenye TV zisizo na uwezo wa Digital bado wanakula maisha. Sijajua kama walizima Analogy kwanza kabla ya kuwasha ya Digital then wakawasha tena Analogy au vp. The same inaweza apply huku.
 
Back
Top Bottom