Mitafaruku bungeni

Mitafaruku bungeni

Miongozo, Taarifa na Kuhusu utaratibu, vyote vipo kwa mujibu wa Kanuni za Bunge linapokuwa linaendesha mijadala yake. Kwani wewe muanzisha thread ulitaka wabunge wakaombe miongozo wapi? Waje nyumbani kwenu? Oh come on, Fat you!
 
mleta mada utakubaliana na mimi kuwa hujui kabisa ualoliongea.
 
Wanaofaidika na udhalimu wa serikali yetu miongozi inawachoma
 
kunawabunge wanapaswa kupewa adhabu ya viboko mule bungeni kwani wanatuhalibia bunge sana na kulifanya kama la watoto hawa wabunge wa namna hii wafukuzwe tu bungeni.
 
Bila kuzichapa siku wakizinguana sidhani kama wataheshimiana na kujadili maendeleo ya Mtanzania...tehe tehe teheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Miongozo siyo kosa na inakubalika na ipo kiu taratibu kwa nini wabunge wasitumie hiyo fursa?. Labda iwe sijakuelewa lakini kama una maanisha ulichosema wewe ni KILAZA na Hujui unakoelekea rudi BABY CLASS.
 
Mi nafikiri miongozo ipo kwa mujibu wa kanuni za kudumu za bunge, so haziwezi leta mitafaruku
 
Kwa wale wanaofuatilia shughuli za Bunge, nadhani watakubaliana na ukweli kuwa wazee wa miongozo ni chanzo cha mitafaruku ndani ya Bunge.

walipo ondolewa wale wabunge watano active, bunge liliugua ugonjwa unaoitwa ACTIVE INERTIA yaani lilkuwa busy lakini hakukua na kitu cha maana kilichokuwa kinafanyika.
 
Back
Top Bottom