Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,944
Kukutoa wewe tu Asnam, Dar Live achana nayo!
hahahaha bahati nzuri naanza sabato ya Bwana,karibu twende church wote.
Kukutoa wewe tu Asnam, Dar Live achana nayo!
Hajaivunja hii mkweli huyo??
Haki ya faragha
na usalama wa
mtu
Sheria ya 1984
Na.15 ib.6
16
.-(1) Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi
kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na
unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na
mawasiliano yake ya binafsi.
Mi nafikiri hiki kisehemu kinazungumzia kuvunjwa kwa heshi, to me does not mater kama umevunjiwa heshima au umejivunjia heshimaMtu mwingine akikufanyia hivyo. Lakini ukijifanyia, sidhani kama ibara hiyo can be interpreted that way. Sijui kama kuna sheria ya "indecent" and what is/are an indecent act(s)! Anyway, nunachotaka kueleza ni huku kuwachapa viboko wadada eti wamevaa nguo fupi! Uvunjaji wa haki za binadamu na utawala mbaya unaanzia hapo!
Sabato hata juma lijalo ipo lakini hii ni leo tu! Haijirudii tena.hahahaha bahati nzuri naanza sabato ya Bwana,karibu twende church wote.
Sabato hata juma lijalo ipo lakini hii ni leo tu! Haijirudii tena.
Ngoja niku PM nikupe no yangu unitumie kiasi, maana mimi huku bado mpk ifike tarehe 40 ya mwezi huu ndiyo tunapata mshahara. kwa kuwa wewe wangu najua utanitoa kiasi.:smile-big::smile-big::wink:Ni Ijumaa nzuri ambapo mifuko yote imetuna na "vijisenti"...
Bia na nyama choma hazirushwi, zinafuatwa tu, so kama vipi twenzetunikupe no. unirushie eeeh
View attachment 85081 View attachment 85083 View attachment 85086
Ijumaa ikifika, kunakuwa maandalizi haya kwaajili ya weekend....
Bia na nyama choma hazirushwi, zinafuatwa tu, so kama vipi twenzetu
Wiyelele ulivyoongea kwa upole, inaonyesha unaogopa sana kuchunwa, Loh! si umesema mifuko imetuna pale , basi mm nikajua wewe, haya bwana siku nyingine,! najua unaninyima sawa bwana, na mm nikipata zangu nitakunyima.:crying::crying::crying:
Hiyo Pic no 3 , huyo ni wiyelele na dada yake wanacheza Kiduku, mlipendeza sana.
Pic no 2, ni Wiyelele na mkewe wanatoana ngeo hapo, tena unabahati hajawahi korodani maana mdomo ndiyo huko hapo ukilegeza tu mguu anang'oka nazo, tuone kimara utaendaje wakati zina majeraha. hahahahahahah! loh!
Wiyelele ulivyoongea kwa upole, inaonyesha unaogopa sana kuchunwa, Loh! si umesema mifuko imetuna pale , basi mm nikajua wewe, haya bwana siku nyingine,! najua unaninyima sawa bwana, na mm nikipata zangu nitakunyima.:crying::crying::crying:
Haya nitaku PM nijue leo uko wapi, ili nije ninywe za baridi mbili, mm kiti moto situmii.Ila baba K akitukuta nitamwambia wewe ni mzoa mataka taka, Je uko tayari kuitwa hivyo?Japo mifuko haijatuna, sikosi ya Kitimoto na baridi moja Kimara! :smile-big:
Hii no 2 imenichekesha sana. mi nawacheka wanaume ambao hawana nguvu ila wameoa ma Bruce Lee! Kitu cha kwanza, niliangalia iwapo mke akikasirika, je ataweza kunitwanga? Nikaoa mfupi! Hapo ndo nikaharibu. Ningejua, ningejua, tena ningejua nisingeoa mfupi. Ningeoa mwembamba kidogo (asiwe na wembamba wa kukosa lishe!), na mrefu ambae angenifikia kwenye maskio yangu. maana mi ni mrefu navutia kinoma!
Hata nawaonea huruma wanawake... Unakuta mtu mwembamba, kaolewa na jitu hilo lenye kitaaambiii! Au mwembamba kaolewa na li tyson eti ndo linajua mambo! Hahahha! we acha bwana! Sasa likikasirika ndo unaskia limemvunja mtoto wa watu, likaenda segerea bure na huyo my wifu wake kaperekwa Muhimbili kushonwa shonwa majeraha!
hahahahaahahaah!!! umenichekesha sana haya bwana.Sidhani kama we ni mfupi maana ulichangia sana kwenye mada ya "matatizo ya watu wafupi". Usingeweza kujisema mwenyewe...
Yaani nikurushie pesa na nguo zako hivo hivo.???hahaha nirushie pesa bhana,mi shida yangu ni pesa sio nyama choma na bia.
Yaani nikurushie pesa na nguo zako hivo hivo.???