jjs2017
JF-Expert Member
- May 25, 2019
- 2,023
- 4,213
Wakuu kumekucha,
Katika haya mahusiano yangu naona kabisa huyu mwanamke atakuwa ni dada poa wakuu , napata mashaka nae sana , tena nahisi kabisa ni dada poa wa weekend ni vile bado sijamfumania kwa macho waziwazi ila kila nikiunganisha dot naona kabisa huyu ni dadapoa.
Nahisi hivi maana kila inapoanza weekend kwanzia siku ya ijumaa , jumamosi mpaka juma pili usiku wa manane hapatikani kabisa na wakati mwingine naona kabisa kama ananichenzea michezo ya kuni block nakuni unblock maana kuna muda na ambiwa simu inatumika mara gafla imepatikana, mara imezimika ila nikituma txt naona zinaenda vizuri tuu.
Ila ikifika jumatatu mapema sana atanitafuta kunijulia hali na baadae ananipotezea na kuniacha niwe mtumwa wake, yani naona kabisa mida ya jioni na usiku mkali kama time table yake inakua imejam.
Wakuu sasa nataka niende zangu nikachek afya alafu nipige chini, japo nafsi yangu kwenye kucheck afya inasitasita sana na sijui kwanini.
Naombeni maoni yenu wakuu.
Katika haya mahusiano yangu naona kabisa huyu mwanamke atakuwa ni dada poa wakuu , napata mashaka nae sana , tena nahisi kabisa ni dada poa wa weekend ni vile bado sijamfumania kwa macho waziwazi ila kila nikiunganisha dot naona kabisa huyu ni dadapoa.
Nahisi hivi maana kila inapoanza weekend kwanzia siku ya ijumaa , jumamosi mpaka juma pili usiku wa manane hapatikani kabisa na wakati mwingine naona kabisa kama ananichenzea michezo ya kuni block nakuni unblock maana kuna muda na ambiwa simu inatumika mara gafla imepatikana, mara imezimika ila nikituma txt naona zinaenda vizuri tuu.
Ila ikifika jumatatu mapema sana atanitafuta kunijulia hali na baadae ananipotezea na kuniacha niwe mtumwa wake, yani naona kabisa mida ya jioni na usiku mkali kama time table yake inakua imejam.
Wakuu sasa nataka niende zangu nikachek afya alafu nipige chini, japo nafsi yangu kwenye kucheck afya inasitasita sana na sijui kwanini.
Naombeni maoni yenu wakuu.