View attachment 85081 View attachment 85083 View attachment 85086
Ijumaa ikifika, kunakuwa maandalizi haya kwaajili ya weekend....
Haya maandalizi ni ya hii picha ya mwanzo kushoto?! Hii picha ya mwanzo, kama ni kweli unakutana na wadada wa namna hii, dawa yao ni viboko tu vingenevyo watakuwa wanatuchafulia jamii.
Haki bila wakibu... NOOOOOOOOOOBe conscious of Human rights!
Haki bila wakibu... NOOOOOOOOOO
Hajaivunja hii mkweli huyo??Sheria gani/haki gani imevunjwa kwa kuvaa vile. Just tell us objectively!
hizi haki zingine hazina maslahi kwa jamii ni uzuzu tu,mtu kuvaa hivyo ni haki loh!!!!!Hajaivunja hii mkweli huyo??
Haki ya faragha
na usalama wa
mtu
Sheria ya 1984
Na.15 ib.6
16
.-(1) Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi
kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na
unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na
mawasiliano yake ya binafsi.
Ni Ijumaa nzuri ambapo mifuko yote imetuna na "vijisenti"...
Ni PM, mi mfuko wangu haujatobokatualikana bhasiiiii mi mfuko wangu umetoboka.
Ni PM, mi mfuko wangu haujatoboka
Hajaivunja hii mkweli huyo??
Haki ya faragha
na usalama wa
mtu
Sheria ya 1984
Na.15 ib.6
16
.-(1) Kila mtu anastahili kuheshimiwa na kupata hifadhi
kwa nafsi yake, maisha yake binafsi na familia yake na
unyumba wake, na pia heshima na hifadhi ya maskani yake na
mawasiliano yake ya binafsi.
tualikane bhasiiiii mi mfuko wangu umetoboka.
Karibu Asnam (if you are a female, maana humu jina lolote can mean any sex). Males pia karibu DAR Live!
kuna nini huko DAR LIVE,unataka kututoa au karibu yako inamaanisha nn?