Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Semeni hapo tz lini tutafikia barabara hizi?
kwanza huo usafi wake tu bongo haiwezekani hata iweje!
Inshallah nasi tukipata mafuta kama wao
Shida ni kwamba somewhere nyuma ya majengo haya mazuri, kuna mtu anakatwa kichwa kwa kosa la uzinifu ilhal aliyezini naye yupo kwenye kundi linalotazama.
Huo mji ni sawa na jeneza, ndani kuna maiti. Tumaini la maisha linasongwa na imani iliyojaa giza. Hakuna uhuru wala furaha ya maisha hususan kwa jamii ya wanawake. Uzuri wa jiji haushabihiani na tabasamu katika nyuso za maua (wanawake) wa mji.
View attachment 75806
Shida ni kwamba somewhere nyuma ya majengo haya mazuri, kuna mtu anakatwa kichwa kwa kosa la uzinifu ilhal aliyezini naye yupo kwenye kundi linalotazama.
Huo mji ni sawa na jeneza, ndani kuna maiti. Tumaini la maisha linasongwa na imani iliyojaa giza. Hakuna uhuru wala furaha ya maisha hususan kwa jamii ya wanawake. Uzuri wa jiji haushabihiani na tabasamu katika nyuso za maua (wanawake) wa mji.
View attachment 75806
Inshallah nasi tukipata mafuta kama wao
Na we Shizukan aliyekwambia Oman wanawake wanafugwa nani? Mbona kuna manight club na wenye tabia za kujirusha wanajirusha mpaka majogoo. Usizomokezomoke tu wala hujui nchi za watu, Kwenye Gulf countries nchi iliyokuwa bora kuishi basi number 1 ni Oman, haya njoo nakukaribisha