Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Dharura tenaa? Same old CCM...CCM ni ile ileeeee. RIP Capt. Komba.
Nilisoma kabla neno "shule za kata" halijaanza kutamkwaKufanya kazi bila posho ndio uzalendo, umesoma shule gani ya kata wewe.
Sema Bunge la CCM na serikali yaoBunge na serikali wanahusika moja kwa moja na kugawa bure madini yetu bure kwa kaburu...
Muhimu.Serikali hii inaweza kuwa na dhamira Nzuri.Ya kesho jee?yaweza kukitumia vizuri kiufisadi kipengele hicho.12. National Assembly MAY.....
Hii MAY hii ndo kikwazo Chenyewe! Kwanza inalipunguzia bunge nguvu yake, kwa sababu Serikali isipotaka mikataba ipitiwe, haitoipeleka miswada hiyo bungeni na serikali itakuwa sahihi kisheria!. Neno May liondoke liwekwe neno SHALL, ili mikataba yote ya rasilimali ipitiwe na bungw pia
Kwani ilivyoletwa mara ya kwanza si ilikuwa inaeleweka kama hivi na ikapita kwa haraka sababu ya kueleweka kwake?Ninaunga mkono 100 kwa 100... hii miswada kwanza ni mifupi na inaeleweka kabisa. Kwa mzalendo yeyote yule hawezi kupinga hichi kilicholetwa. Kudos Mhe Rais... tupo nyuma yako.
Mi ninachokiona,tatizo si muswada mpya au wazamani,tatizo hiyo hiyo ya zamani ilipitishwa kwa style ya haraka kama hii na ikawa na makosa kama yanayooneka.Sasa kama ndo hivyo kwanini isipewe muda wa kutosha ijadiliwe kwa umakini ili yale makosa yasijirudie,haraka ya nini kama ni kwa manufaa ya Taifa?Hakuna mswada mpya hata mmoja hapo. Hawa jamaa wanapenda kupiga kelele bila kuwa na substance. Serikali imepeleka amendments kurekebisha baadhi ya vifungu katika sheria mahsusi ili ku-backup (harmonise laws with financial appropriation Act 2017/18) ikiwa ni jitihada za sasa za serikali kukusanya 1% ya gross value (budget 2017/18) ya madini yanayosafirishwa kupitia minerals clearing centres (airports/bandarini/mipakani). Ni kuhakikisha kuwa nchi inanufaika zaidi na rasiimali za madini.
How sure you are?Tatizo kuna watu always are pessimistic...hata ufanye lipi jema wataona unatwanga maji kwenye kinu....nikweli huko nyuma watu walitumia vibaya fursa ya uwepo wa kupeleka miswada ya dharura wakafanya yao....but currently the government is doing its activities in a good faith....tumuunge mkono Mh. Rais wetu.
Aa!hapana,posho wapewe na kazi ya maana wafanye .Inajulikana tunataka kufaidi rasilimali zetu hivyo lazima tuwe wabia (wanahitaji kuweka kiwango labda 40%-50%), Tax holiday badala ya kuwa milele kama sasa wanaweka kipengele tu kwamba ni mwaka wa kwanza tu baada ya hapo wanalipa, ajira za mgodini labda 70% wawe waswahili, hakuna kuchnjua madini nje ya nchi, kila madini yanaposafirishwa lazima yarekodiwe na yapatiwe vibali kutoka benki kuu, etc!Tunahitaji kuunguza hela zetu za kodi kwa kubadilisha hivi vipengele??
Kama muda hautoshi tuwaongeze,ila wakae bila posho si wanalipwa mishahara??
View attachment 532865
View attachment 532866
Kwa hali ya kawaida huwezi kulazimisha Mikataba kupitiwa na Bunge kwa kutumia Ibara moja tu ya maneno 23 (Iliyo ndani ya Sheria nyingine)ambayo inaweza kufutwa na Waziri kwa kumwekea Ibara moja yenye sehemu ndogo yenye maneno 16 kupitia Kanuni.
Pia Ibara hizo mbili zinafuatana ili kuwa rahisi utekelezaji( 12 &13).
Hivyo kwa Ushauri, utengenezwe Muswada wa nne utakaohusika na Upelekaji wa Mikataba ya Rasilmali za Asili Bungeni kuidhinishwa ikiainisha Aina ya Mikataba na Utaratibu wa kupelekwa Bungeni.
Pia uainishe kuwa kama Mkataba ukikataliwa na Bunge basi unakuwa batili moja kwa moja (‘Null and Void’).
Unaweza kuitwa:
The Natural Wealth and Resources (Types of Agreements/Contracts Subject to Ratification) Act, 2017.
Hii itasaidia angalau kulihusisha Bunge kwa kutumia Sheria inayosimama peke yake..
kwa hiyo lisu kasikilizwaJamaa wanapenda posho hawa....!Hivi kweli kuna ambacho hatukijui kwenye kurekebisha sheria za madini, gesi, na mafuta??Sio kwamba inaletwa miswada mipya hapana, ni ile ya zamani ifanyiwe marekebisho ambayo tayari tumeshayapigia makelele sana!Mnataka kuendelea kutafuna kodi zetu mpk lini???Rekebisheni miswada acheni kulalama, kwanza Heche sijui kama atatoa hata mchango!
Sec. 11. Kwenye permanent sovereign inasema hakuna mashauri yanayohusiana na Mali asili yatasikilizwa nje ya Tanzania. Swali ni je mahakama za tanzania ziko na independence hii ya kumuaminisha mwekezaji? Kwa sababu hiyo Tanzania inajitenga na jumuiya ya kimataifa katika biasharaSijaona chochote
Tuache hivyo hivyo ukitaka visa huwa unaweza kunegotiate?!Sec. 11. Kwenye permanent sovereign inasema hakuna mashauri yanayohusiana na Mali asili yatasikilizwa nje ya Tanzania. Swali ni je mahakama za tanzania ziko na independence hii ya kumuaminisha mwekezaji? Kwa sababu hiyo Tanzania inajitenga na jumuiya ya kimataifa katika biashara
Sec.7 ya hiyo attachment ya pili inamlazimisha mwekezaji kukubaliana na renegotiation ya serikali kwa lazima.