rodney matalis
Member
- Jul 12, 2015
- 56
- 44
Mbona unapotosha kwani wabunge wanamwakilisha nani bungeniTulisema ccm wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya madini baadhi ya watu wakashangilia upepo, leo tena wanaleta miswada mitatu kwa hati ya dharura kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii mitatu ijadiliwe kwa siku moja bila wananchi mbalimbali kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu na ccm wanaonesha rangi zao halisi. Yalifanyika kwenye madini 1997 ilifanyika kwenye gas na mafuta 2015 na yakatokea tena leo.haya ndio chanzo cha makinikinia na wizi, Watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa.
Hebu wekeni inputs acheni blah blah bana....leteni hoja za kizalendo kwenye miswada hiyo...Pingeni miswaada kwa hoja na sio kwa sababu imeletwa kwa dharura.Miswada mitatu ya Sheria ya Serikali imesomwa Bungeni na imepelekwa kwenye Kamati za kudumu za Bunge ili ikafanyiwe kazi ipasavyo
1. Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa 2017, utafanyiwa kazi na Kamati ya Katiba na Sheria inayoongozwa na Mh. Mohammed Omary Luchengerwa
2. Kwa mujibu wa Kanuni ya 7 Kanuni ndogo ya 3 ya nyongeza ya 8, imeundwa Kamati ya pamoja ambayo itafanya kazi ya kuchambua miswada ya sheria ifuatayo:
i) Muswada wa sheria ya mapitio na majadiliano kuhusu mashari hasi ktk mikataba ya maliasili za nchi wa 2017
ii) Muswada wa sheria ya mamlaka ya nchi kuhusiana na umiliki wa maliasili wa 2017
Kamati hii itajumuisha Kamati ya Nishati na Madini, Kamati ya Ardhi Maliasili na Mazingira, Kamati ya Sheria Ndogo, Kamati ya Katiba na Sheria.
Mwenyekiti wao atakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini.
Kamati itafanya kazi kuanzia 29/06/2017 hadi 03/07/2017 na kazi yake kuu itakuwa ni Kuchambua miswada hiyo miwili na kuandaa taarifa itakayowasilishwa Bungeni 04/07/2017
Kufuatia miswada hiyo, Bunge limeongeza siku 5 za kazi kutoka 30/06/2017 hadi 05/07/2017
=======
Anadokeza Mbunge John Heche wa CHADEMA akiwa Bungeni Dodoma.
"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.
Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.
Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!
Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasilimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa"
Kwani bunge linaandaa miswada ya sheria?!!! Muswada kwenda bungeni ni kama utaratibu tu kwa maana mswada huandaliwa na Mwanasheria Mkuu wa serikali na ukipitishwa na bunge hauwi sheria hadi Rais aukubali na kutia saini. Hivyo siku moja inatosha kabisa kwa bunge zima kupitisha hata miswada kumi.Miswada mitatu ya Sheria ya Serikali imesomwa Bungeni na imepelekwa kwenye Kamati za kudumu za Bunge ili ikafanyiwe kazi ipasavyo
1. Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa 2017, utafanyiwa kazi na Kamati ya Katiba na Sheria inayoongozwa na Mh. Mohammed Omary Luchengerwa
2. Kwa mujibu wa Kanuni ya 7 Kanuni ndogo ya 3 ya nyongeza ya 8, imeundwa Kamati ya pamoja ambayo itafanya kazi ya kuchambua miswada ya sheria ifuatayo:
i) Muswada wa sheria ya mapitio na majadiliano kuhusu mashari hasi ktk mikataba ya maliasili za nchi wa 2017
ii) Muswada wa sheria ya mamlaka ya nchi kuhusiana na umiliki wa maliasili wa 2017
Kamati hii itajumuisha Kamati ya Nishati na Madini, Kamati ya Ardhi Maliasili na Mazingira, Kamati ya Sheria Ndogo, Kamati ya Katiba na Sheria.
Mwenyekiti wao atakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini.
Kamati itafanya kazi kuanzia 29/06/2017 hadi 03/07/2017 na kazi yake kuu itakuwa ni Kuchambua miswada hiyo miwili na kuandaa taarifa itakayowasilishwa Bungeni 04/07/2017
Kufuatia miswada hiyo, Bunge limeongeza siku 5 za kazi kutoka 30/06/2017 hadi 05/07/2017
=======
Anadokeza Mbunge John Heche wa CHADEMA akiwa Bungeni Dodoma.
"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.
Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.
Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!
Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasilimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa"
Once a thief, Always a thief.
Mbona ishu nzito kama hii itapelekwa tu kwanza tayari imeandaliwa tayri ikingia bungeni itakuwa ni kuliza tu kuwa wangapivwanaafi na wangapi wasio afiki basi.ili wake wazee waendelee kunusa na kukohoa kishibe.Tuaiombea imalizike ikiwa upande wa maslahi ya mtanzania
Lissu asikudanganye hata wakipewa posho wajadili mwaka mzima hawawezi badili chochote atakachotaka AG ndicho kitakachopita fullstop!akili za MACCM hizi
Tulisema ccm wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya madini baadhi ya watu wakashangilia upepo, leo tena wanaleta miswada mitatu kwa hati ya dharura kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii mitatu ijadiliwe kwa siku moja bila wananchi mbalimbali kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu na ccm wanaonesha rangi zao halisi. Yalifanyika kwenye madini 1997 ilifanyika kwenye gas na mafuta 2015 na yakatokea tena leo.haya ndio chanzo cha makinikinia na wizi, Watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa.
Heche analeta mzaha kwenye mambo mazito kama wabunge wengi wa upinzani wanavyofanya.Miswada mitatu ya Sheria ya Serikali imesomwa Bungeni na imepelekwa kwenye Kamati za kudumu za Bunge ili ikafanyiwe kazi ipasavyo
1. Muswada wa Marekebisho ya Sheria mbalimbali wa 2017, utafanyiwa kazi na Kamati ya Katiba na Sheria inayoongozwa na Mh. Mohammed Omary Luchengerwa
2. Kwa mujibu wa Kanuni ya 7 Kanuni ndogo ya 3 ya nyongeza ya 8, imeundwa Kamati ya pamoja ambayo itafanya kazi ya kuchambua miswada ya sheria ifuatayo:
i) Muswada wa sheria ya mapitio na majadiliano kuhusu mashari hasi ktk mikataba ya maliasili za nchi wa 2017
ii) Muswada wa sheria ya mamlaka ya nchi kuhusiana na umiliki wa maliasili wa 2017
Kamati hii itajumuisha Kamati ya Nishati na Madini, Kamati ya Ardhi Maliasili na Mazingira, Kamati ya Sheria Ndogo, Kamati ya Katiba na Sheria.
Mwenyekiti wao atakuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Nishati na Madini.
Kamati itafanya kazi kuanzia 29/06/2017 hadi 03/07/2017 na kazi yake kuu itakuwa ni Kuchambua miswada hiyo miwili na kuandaa taarifa itakayowasilishwa Bungeni 04/07/2017
Kufuatia miswada hiyo, Bunge limeongeza siku 5 za kazi kutoka 30/06/2017 hadi 05/07/2017
=======
Anadokeza Mbunge John Heche wa CHADEMA akiwa Bungeni Dodoma.
"Tulisema CCM wanafanya sanaa na siasa kwenye masuala ya Madini baadhi ya watu wakashangilia upepo.
Leo tena wanaleta miswada (3) mitatu kwa "hati ya dharura" kujadili masuala ya madini na maliasili za nchi, wanataka miswada hii yote (3) mitatu ijadiliwe kwa siku (1) moja bila wananchi kupata nafasi ya kujua kilichomo hii ni aibu, na sasa CCM wanaonesha rangi zao halisi.
Haya yalifanyika kwenye Madini mwaka 1997, yalifanyika kwenye Gesi na Mafuta mwaka 2015 na yatatokea tena leo 29, June 2017, historia iandikwe!
Haya ndio chanzo cha makinikia na wizi wa rasilimali zetu, watanzania wakikubali haya ina maana tunakubali kuendelea kuibiwa"
Naunga mkono waongezewe muda, ila sitaki waongezewe posho za muda watakaokaa maana wanalipwa mshaharaHivi unapinga nini na unaunga mkono nini? Sijakusoma kabisa mkuu!
Vyote kwa pamoja!Tafsiri ya kutokuwepo nia njema kwa hiyo miswada kama wanavyosema wapinzani inatokana na nini?
1. Content ya hiyo miswada?
AMA
2. Hali ya uharaka wake?
Mkuu kufanya kitu kwa nia nzuri ni jambo muhimu sana lakini kitu hicho kinaweza kufanyika vibaya na kuathiri malengo. Hata amendments lazima zisababishe mswaada na sheria yote kusomwa upya ili kujua hayo mabadiliko yana maana gani. Huko nyuma tunajua haraka imesha tumika kuficha vitu lakini pia haraka inaweza ikaruhusu vitu ambavyo havija kaa sawa kupitishwa. Baada ya kelele zote zilizopigwa itakua jambo la ajabu kupitisha amendments bila majadiliano ya kutosha. I hope bunge litakubaliana ni muda gani unatosha kwa kazi hiyo kufanyika kwa weledi unatakiwa.Tatizo kuna watu always are pessimistic...hata ufanye lipi jema wataona unatwanga maji kwenye kinu....nikweli huko nyuma watu walitumia vibaya fursa ya uwepo wa kupeleka miswada ya dharura wakafanya yao....but currently the government is doing its activities in a good faith....tumuunge mkono Mh. Rais wetu.