wa hapahapa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 7,460
- 4,404
tatizo polisi wa tz hawana ethics kabisa...
..zombies in action..
wengi hawajitambui..
tatizo polisi wa tz hawana ethics kabisa...
Samahani mkuu ili twende pamoja "NZENGO" ndiyo nini?
Namba tena, heee
Kwani hao raia hapo vipi, hawana kiberiti?
ni ya kweli, mi niliisikia ITV na hao polisi wapo rumandeHii habari ni ya kweli au ya kutunga?
ni ya kweli, mi niliisikia ITV na hao polisi wapo rumande
Katika hali ya kusikitisha polisi wilayani Missungwi wamempiga hadi kufa kijana mmoja mtoto wa aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA wilaya hiyo kamanda Dickson, kosa la kijana huyo ni kwenda kituo cha polisi kutoa taarifa za ugomvi uliokuwa umetokea kwenye guest house moja hapo Missungwi, cha kusikitisha na kushangaza polisi badala ya kupokea taarifa na kuzifanyia kazi walianza kumpiga kijana huyo na baadae kumpeleka hospitali ambapo ilibainika tayari keshafariki.
BABA WA MAREHEMU AKATAA KUZIKA MAITI
Katika hali nyingine baba wa marehemu bwana Dickson pamoja na ndugu wengine na Nzengo pia wamegoma kuichukua maiti hospitali na kwenda kuizika hatua ambayo ilisababisha RC Magesa Mulongo kwenda kushughulikia suala hilo kwa kuongea na ndugu pamoja na Nzengo hatua ambayo iligonga mwamba.
MTOTO MDOGO APATA ULEMAVU WA MAISHA
Katika hali nyingine ambayo mimi binafsi imenisikitisha zaidi, mtoto mmoja mwanafunzi wa shule ya msingi amesababishiwa ulemavu wa maisha na polisi hao wa Tanzania, baada ya Nzengo kujua kijana kafariki kwa kupigwa na polisi, Nzengo ilichachamaa na kuandamana kuelekea kituoni ndipo askari hao wakaitana na wenzao kutoka Mwanza Mjini na kuja kupiga mabomu hovyo hovyo kana kwamba hawana taaluma yoyote ya mambo hayo hapo ndipo kiliruka kitu kutoka kwenye mabomu hayo na kumpata mtoto huyo jichoni na kusababisha jicho la mtoto huyo kutoka, inasikitisha kwa kweli.
Hivi sasa mtoto huyo wa darasa la pili tena binti ndio tayari kawa na kilema cha kudumu maisha yake yote kisa polisi wapuuzi, huruma.
Namba tena, heee
Kama kilichoandikwa ni cha kweli unadhani ulichoandika hapa kinatosha au kuna haja ya kufanya kitu zaidi!?Poli ccm ni manjanga
Naungana na wewe.Nani aliwatuma tena wakavamie kituo! hao polisi wamezidi upole, kumng'oa jicho haitoshi wangeng'oa wengi tu!
Katika hali ya kusikitisha polisi wilayani Missungwi wamempiga hadi kufa kijana mmoja mtoto wa aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA wilaya hiyo kamanda Dickson, kosa la kijana huyo ni kwenda kituo cha polisi kutoa taarifa za ugomvi uliokuwa umetokea kwenye guest house moja hapo Missungwi, cha kusikitisha na kushangaza polisi badala ya kupokea taarifa na kuzifanyia kazi walianza kumpiga kijana huyo na baadae kumpeleka hospitali ambapo ilibainika tayari keshafariki.
BABA WA MAREHEMU AKATAA KUZIKA MAITI
Katika hali nyingine baba wa marehemu bwana Dickson pamoja na ndugu wengine na Nzengo pia wamegoma kuichukua maiti hospitali na kwenda kuizika hatua ambayo ilisababisha RC Magesa Mulongo kwenda kushughulikia suala hilo kwa kuongea na ndugu pamoja na Nzengo hatua ambayo iligonga mwamba.
MTOTO MDOGO APATA ULEMAVU WA MAISHA
Katika hali nyingine ambayo mimi binafsi imenisikitisha zaidi, mtoto mmoja mwanafunzi wa shule ya msingi amesababishiwa ulemavu wa maisha na polisi hao wa Tanzania, baada ya Nzengo kujua kijana kafariki kwa kupigwa na polisi, Nzengo ilichachamaa na kuandamana kuelekea kituoni ndipo askari hao wakaitana na wenzao kutoka Mwanza Mjini na kuja kupiga mabomu hovyo hovyo kana kwamba hawana taaluma yoyote ya mambo hayo hapo ndipo kiliruka kitu kutoka kwenye mabomu hayo na kumpata mtoto huyo jichoni na kusababisha jicho la mtoto huyo kutoka, inasikitisha kwa kweli.
Hivi sasa mtoto huyo wa darasa la pili tena binti ndio tayari kawa na kilema cha kudumu maisha yake yote kisa polisi wapuuzi, huruma.
Tena kweli. hawa wameshawapoteza imani raia.na wangepeleleza kuwajua wahusika ili wawatemeshe roho vile vile.na kituo kipigwe moto.maana hapo polisi watateteana tu.!
Mawazo ya kijinga hutolewa na mtu mjinga huyu polisi aliyemua huyu mtu alimkuta kwenye maandamano au mkutano wa Chadema?CHADEMA wanawadanganya watu wanaumia na kufariki wao wanatafuta madaraka ya kushika dola tu! watoe ruzuku kwa wafiwa upesi. watu msilaghaiwe na chadema mtakufa wenzenu watakwea pipa nyinyi je?
Nenda kajaribu na kakibiriti kako uwaulize wenzako!
Mawazo ya kijinga hutolewa na mtu mjinga huyu polisi aliyemua huyu mtu alimkuta kwenye maandamano au mkutano wa Chadema?
wewe unacheo gani PT !?