bora usivae kabisa cause bikini inaongeza bonde la ufa,machupi makubwa yanaleta fangasi na bacteria
usipo vaa lazima ulowane njia na utaaibika kikubwa ni kuvaa nguo zenye staha wala sio nguo za aina kama hiyo
bora usivae kabisa cause bikini inaongeza bonde la ufa,machupi makubwa yanaleta fangasi na bacteria
...Nguo rojorojo...au zile nyepesi & transparent huonyesha chupi..... na HUFANYA HIVYO MAKUSUDI... makungwi tunajua.... mm naona wavae tu.... wawe huru wanaotaka...but not my wife.... na inavutia akiwa kajazia jazia makalio..... ukiona anakuvutia ....mfuate.... MSALIMIE KAMA MNAJUANA SIKU NYINGI.... then rusha ndoano.... unavua tu.....
..i like chics who go commando...white girls like to go commando (especially in summer)...sijaonaga demu mweusi akienda commando....maana futuko la dar..na mimaji yenu ya chini sipati picha...we utakua mkavu (naturally) basi...bora mie sivaagi
wana jf.kuna hali naiona kwa dada/wake zetu nashidwa kuelewa.Nguo nyingi wanazova sasa zinaonyesha mistari ya chupi.najiuliza ni naumbile? nguo za sasa zinashidwa kusitiri? au ni makusudi?