Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,437
- 4,829
Greetings wapendwa
Hii ni kutoka ndani ya moyo, kiukweli nimekumis mno Erickb52 beibe hata wanaokwenda vitani hawachelewi kiasi hicho.
Kila siku unasema utarudi nasubiri kuanzia asubuhi mpaka jioni lakini waapi
Madame B my wii au yupo huko nyumbani,cousin bro Mr Rocky hujanionea huko huyu kiumbe!.
Nashindwa kumuliza Bishanga maana......mmmmh, kwahiyo naomba Mamndenyi na The secretary mnisaidie kunitizamia huko
Halafu sikukaguliwa nayo inaniwia vigumu kuuliza kwa m/kiti Baba V na mshenga wake Asprin
Naamini upo salama, bado nakungoja kwa hamu zote...na nakupenda sana
Kila la kheri huko ulipo.
Hii ni kutoka ndani ya moyo, kiukweli nimekumis mno Erickb52 beibe hata wanaokwenda vitani hawachelewi kiasi hicho.
Kila siku unasema utarudi nasubiri kuanzia asubuhi mpaka jioni lakini waapi
Madame B my wii au yupo huko nyumbani,cousin bro Mr Rocky hujanionea huko huyu kiumbe!.
Nashindwa kumuliza Bishanga maana......mmmmh, kwahiyo naomba Mamndenyi na The secretary mnisaidie kunitizamia huko
Halafu sikukaguliwa nayo inaniwia vigumu kuuliza kwa m/kiti Baba V na mshenga wake Asprin
Naamini upo salama, bado nakungoja kwa hamu zote...na nakupenda sana
Kila la kheri huko ulipo.
Last edited by a moderator: