hahahahahahah nilijua utakausha tu thread imefika pg 3, shemeji yako sasa hivi ni yule yule nimerudiana naye tena sijui kaniloga mweee usitugombelezee utapata aibu lolView attachment 99704
Take care my Chocs !
:mwaaah:I love you with all my heart!:mwaaah:
I remain
Erickb52
View attachment 99704
Take care my Chocs !
:mwaaah:I love you with all my heart!:mwaaah:
I remain
Erickb52
Greetings wapendwa
Hii ni kutoka ndani ya moyo, kiukweli nimekumis mno Erickb52 beibe hata wanaokwenda vitani hawachelewi kiasi hicho.
Kila siku unasema utarudi nasubiri kuanzia asubuhi mpaka jioni lakini waapi
Madame B my wii au yupo huko nyumbani,cousin bro Mr Rocky hujanionea huko huyu kiumbe!.
Nashindwa kumuliza Bishanga maana......mmmmh, kwahiyo naomba Mamndenyi na The secretary mnisaidie kunitizamia huko
Halafu sikukaguliwa nayo inaniwia vigumu kuuliza kwa m/kiti Baba V na mshenga wake Asprin
Naamini upo salama, bado nakungoja kwa hamu zote...na nakupenda sana
Kila la kheri huko ulipo.
View attachment 99704
Take care my Chocs !
:mwaaah:I love you with all my heart!:mwaaah:
I remain
Erickb52
HahahaGreetings wapendwa
Hii ni kutoka ndani ya moyo, kiukweli nimekumis mno Erickb52 beibe hata wanaokwenda vitani hawachelewi kiasi hicho.
Kila siku unasema utarudi nasubiri kuanzia asubuhi mpaka jioni lakini waapi
Madame B my wii au yupo huko nyumbani,cousin bro Mr Rocky hujanionea huko huyu kiumbe!.
Nashindwa kumuliza Bishanga maana......mmmmh, kwahiyo naomba Mamndenyi na The secretary mnisaidie kunitizamia huko
Halafu sikukaguliwa nayo inaniwia vigumu kuuliza kwa m/kiti Baba V na mshenga wake Asprin
Naamini upo salama, bado nakungoja kwa hamu zote...na nakupenda sana
Kila la kheri huko ulipo.
Duuh