Missing you a lot my @Erickb52

Missing you a lot my @Erickb52

Chocs si useme tu kuwa umemiss kifanyio chake baada ya ile operesheni niliyofanya na madokta wenzangu ya kukiengua...ili kunusuru ndoa za watu...khaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Greetings wapendwa

Hii ni kutoka ndani ya moyo, kiukweli nimekumis mno Erickb52 beibe hata wanaokwenda vitani hawachelewi kiasi hicho.
Kila siku unasema utarudi nasubiri kuanzia asubuhi mpaka jioni lakini waapi
Madame B my wii au yupo huko nyumbani,cousin bro Mr Rocky hujanionea huko huyu kiumbe!.
Nashindwa kumuliza Bishanga maana......mmmmh, kwahiyo naomba Mamndenyi na The secretary mnisaidie kunitizamia huko

Halafu sikukaguliwa nayo inaniwia vigumu kuuliza kwa m/kiti Baba V na mshenga wake Asprin

Naamini upo salama, bado nakungoja kwa hamu zote...na nakupenda sana

Kila la kheri huko ulipo.

Weraaaaaa!! Erickb52 hebu come this way.... Halafu kwa hili huyu inabidi ajue c:c Kipipi
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 yupo kwenye mpango wa kando chezea wowowo wewee Chocs nilikwambia kafanyiwa ukaguzi mwanana yupo kwa mwenzio acha kumtafuta
 
Last edited by a moderator:
Chocs si useme tu kuwa umemiss kifanyio chake baada ya ile operesheni niliyofanya na madokta wenzangu ya kukiengua...ili kunusuru ndoa za watu...khaaa!!!
Hahahahahahaha...hamna wewe kidude kipo bwana...ila kweli nimekimisije!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom