Kwani sababu hauzijui?Siku hizi most members just stay low-key. Ile legacy ya wakati ule imepotea.
Ile vibes na zile late nights zilizokuwa zikifanyika kwa sababu ya non-stop conversations are slowly dying. I really miss the JF old era.”
inasikitisha sana.Kwani sababu hauzijui?
Hoji kwanza uonevu unaoendelea sasa wa kuifungia Jf kinyume cha sheria.
Tumepoteza members wengi sana kwa kitendo hiki.
Kunafuatiwa na mamluki uchwara kupokelewa na kumwagwa Jf na hadi wengine kukabidhiwa fimbo ya umoderator na kuanza kuziminya ovyo topic za maana, ama topic ya mtu kuchanganywa kwenye topic ya mtu mwingine, mambo ya hovyo hovyo tu!
Sielewi ni kwa nini mkurugenzi aliingizwa mkenge wa namna hii!
Mi mwenyewe sasa hivi natafuta ni platform gani ya waungwa nijiunge nayo.
Naunga mkono ndugu, ila kuhusu kuhama hapa kidogo haipo sawa, piga uwa haniondoi mtu humu.Kwani sababu hauzijui?
Hoji kwanza uonevu unaoendelea sasa wa kuifungia Jf kinyume cha sheria.
Tumepoteza members wengi sana kwa kitendo hiki.
Kunafuatiwa na mamluki uchwara kupokelewa na kumwagwa Jf na hadi wengine kukabidhiwa fimbo ya umoderator na kuanza kuziminya ovyo topic za maana, ama topic ya mtu kuchanganywa kwenye topic ya mtu mwingine, mambo ya hovyo hovyo tu!
Sielewi ni kwa nini mkurugenzi aliingizwa mkenge wa namna hii!
Mi mwenyewe sasa hivi natafuta ni platform gani ya waungwa nijiunge nayo.
Siku hizi humu wamejaa mamember wanajiita machizi kabisa.Siku hizi most members just stay low-key. Ile legacy ya wakati ule imepotea.
Ile vibes na zile late nights zilizokuwa zikifanyika kwa sababu ya non-stop conversations are slowly dying. I really miss the JF old era.”
JF ya GTs ile 😄😄😄Siku hizi most members just stay low-key. Ile legacy ya wakati ule imepotea.
Ile vibes na zile late nights zilizokuwa zikifanyika kwa sababu ya non-stop conversations are slowly dying. I really miss the JF old era.”
You can never cross the same river twice.Siku hizi most members just stay low-key. Ile legacy ya wakati ule imepotea.
Ile vibes na zile late nights zilizokuwa zikifanyika kwa sababu ya non-stop conversations are slowly dying. I really miss the JF old era.”