Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na mama yake wahamia CHADEMA kutoka CCM

hahahah Mbowe akiamua kumpa Wema Sepetu hata ukatibu mkuu wa chama leo hakuna kamanda yoyote atafungua bakuli lake...CHADEMA ina wenyewe nyie wengine ni bendera fuata upepo tu
.....
.....vipi jomba vikao vimekwisha ...Wema Sukuma Moyo wangu
 
kufanya tu uchambuzi juu ya wanachama, kwamba huyu yuko hivi na huyu yuko hivi ni dalili njema kwa chama, kwani, walipokuwa kule kwa nini hawakuchambuliwa? sasa walikohamia wanachambuliwa, we huoni kama hapo kuna kitu?
 
Hivi wewe ccm??
 
Hakuna shida yoyote. Shida ni pale watu wa Chadema wanapoamini CCM itaathirika. Ndio maana Barbarosa akasema, viliishaondoka vingunge lakini CCM ikabaki imara!

Umekua msemaji wa Wanachadema? Au unaongelea Fikra zako na kuzipandikiza kwa CDM! Kwani Wema ni Wakwanza kuiacha ccm ?
 
Walishindwa nini? Kwani Hugo wema umeona chadema wamemshawishi au hasira zake? Chadema haina shida Na wema
 
isijekuwa anafanya usanii?? usimuamini msaniii tena wakike....


chadema angalia huyu mtu kwa makini
 
Kazi kweli kweli....inamaana huyu demu nae anadhani anaweza washawishi watu wenyefamilia zao wamuelewe...mi ningeskia wema amebeba mimba karibia anajifungua ningeona kitu cha maana...mziki wa huyu mzee ni shida ni wachache watauhimili...kwa hiyo chadema sisi kazi yetu ni kupokea waharifu eee
 
Kisokorokwinyo ña kiroho papo
 
Ni hiari ya mtu yeyote kujiunga na chama chochote, na wala hajakosea, ingawa kwa mtazamo wangu sioni kama CCM imepoteza lolote kwa kuhama kwa huyu Mwana dada, ambaye wala sikuwahi kuhisi uwepo wake ndani ya chama.
Sivutiwi Na maisha ya wema Lkn inabidi ujijaze UJINGA kichwani kukataa athari ambazo chama cha mapungufu kitapata kwa kuondokewa Na Huyu kiumbe. Na itabidi uwe chizi kukataa kuwa CCM haikutingishwa Na kuondoka Kwa Lowassa kutoka ushindi wa asilimia 80% mwaka 2005 mpaka asilimia 58% mwaka 2015 . Au mamba haipandi ndugu 80 -58=22 hii inamaana chama kimeshuka . Pia athari za kingunge Huwezi kufananisha Na wema wapiga kura wengi ni vijana Na wengi wao Ndio wale vilaza ambao Magufuli alisema. Lkn inapokuja kupiga kura uzito wa kura ya kilaza ni sawa Na ya mwenye PHD. Ni mfungwa Na chizi pekee ambae hapigi kura.
 
Utakuwa na bahati mbaya sana kuendelea kuamini ktk kuuza, kununua na kununuliwa. Hakika Ccm wametuweza ktk hili. Maana yake wewe na kizazi chako-- kilichotangulia na kinachofuata mko kwenye mstari huo. Ni aibu kushindwa kuugrade ufahamu wako. Ninyi ndiyo wale mliamini Lowasa kujinyea jukwaani na kuinunua Chadema-- endelea kukomaaa ktk muktadha huo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…