Angemalzia kwa kuchana kadi
Wakuu:
Hii yote imesababishwa na mkuu wetu wa mkoa.
Cheo alicho nacho hakiendani na Umri/Hekima/Busara sambamba na wadhifa wa ukuu wa Mkoa.
Na hii ni ishara mbaya kwa CCM.
Wanachama ni kama wateja kwenye biashara yeyote ile yenye ushindani, haitakiwi kumpoteza hata mwanachama mmoja.
Hivyo mkuu wetu wakaya ni vyema angetafakari kwa kina na kuchukuwa uamuzi wa haraka.
"...........vinginevyo............."