miss kyenda
Member
- Oct 7, 2017
- 28
- 65
Umeona ehh .Mwaka Jana miss India alistahili kushinda maana alikuwa moto lakini ukiangalia chezo tulilochezewa Africa utacheka..Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu hii miss world many people don't understand it aisee na South Ili ushinde lazima uwe mzungu. Wengi wasichojua Africa anayeongoza kushinda ni miss world ni South Africa Ila kwa mweusi ni yule mu Nigeria.
Mimi nilivoona top five huyo mu Mexico kawekwa na Wachovu wengine wasio na vigezo nikajua huyo ndo miss world.
Tena mshiriki wa India naye alikuwa vzuri had project yake ilipitishwa sema ndo asimgerudia. Yani hii miss world Kuna nchi hupokezana ushindi au kuingia top fifteen.
Mwaka Jana strong contestant from Afrika alikuwa mnaija maana hata miss world top model aliichukua na fast track nyingine alifanya poa yaani inshort mdada alijiweza. Cha kushangaza akaingia top 15 AF mkenya ambaye alikuwa weak wakamuweka Top 5 ili ionekane tu mshindi anayechaguliwa kastahili..
Miss world ukikaa ukitulia mbona unausoma mchezo