Miss Chagga Hebu Kuja Pande Hii Haraka

Miss Chagga Hebu Kuja Pande Hii Haraka

Status
Not open for further replies.
into pm?,..hii lugha ukajipange tena,demu atakukataa

Elungata na afro mmesomea wapi ninyi? au ndo shule za kata? sijaona makosa ya English ya jamaa hapo,into pm,mlitaka aandikeje? at,to,of,au mlitakaje? hebu kati yenu anayejua vizuri english afanye edition yote ya kiingereza cha jamaa hapo hatua kwa hatua,halafu kusema kwamba eti demu atamkataa hapo ndo umechemka mkuu,mapenz hayaangalii na hayana vigezo kabisa,labda kama mwanamke amekupendea kwa sababu ya kitu fulani,lakini mapenz halisi hayachagui,pia kumwambia mwenzako bangi za makalioni si ustaarabu hata kidogo,ametoa hisia zake kwa miss chagga kuna dhambi hapo jamani? siku hizi JF imekuwaje jamani? nina uhakika jamaa akibahatika akang'oa mzigo lazima roho zitawauma,mnakimbilia kukosoa na kukashfu mambo yasiyokuwepo.
 
Mi nipo poa sana. Naangalia hapa vijana wanavyo tongozana. Wengine tushang'oka meno ya kuvunja mifupa..hahaaaa!!. Mia

Hahahahaha siku hizi ni mambo ya kutafuta
Wachumba online kipindi chetu tulikuwa tunaviziwa tukuenda kuchota
Maji korongoni.

Miaka imebadilika kwa kweli..
 
Hahahahaha siku hizi ni mambo ya kutafuta
Wachumba online kipindi chetu tulikuwa tunaviziwa tukuenda kuchota
Maji korongoni.

Miaka imebadilika kwa kweli..
Hahahaaa! Siku hizi ni maswali na majibu ya papo kwa papo lol. Baadae jioni tutafutane tupige stori, nikisahau unikumbushe!. Bye!:yo:
 
HAYO MENO YAKUTOKE WEWE JAMANI MWEEEEEEEEE
NA SISI TUSEMEJE? VIBIBI JAMANI>? mathematics YEYE ANAJUA KWA MENO YASHAKUTOKA?
Mi nipo poa sana. Naangalia hapa vijana wanavyo tongozana. Wengine tushang'oka meno ya kuvunja mifupa..hahaaaa!!. Mia
 
Last edited by a moderator:
Usinikumbushe bestito hata mm nakumbuka

ila siku mwendo wa kidigitale zaidi na ordinale kama siye
hahahahaha siku hizi ni mambo ya kutafuta
wachumba online kipindi chetu tulikuwa tunaviziwa tukuenda kuchota
maji korongoni.

Miaka imebadilika kwa kweli..
 
Mabondeni P. School na Ussenge P. Sch mnatunyanyapaa
 
ha ha ha ha ha ha ha okey that gooodddddddddddd goder .......... ha ha ha a ha ha life is full of adventures let me explore..
 
Hahaaaaaaaa, asijikwambie mpaka ndoa ndo ule mzigo! Manake mapenz ya kidigitally full kuuziwa mbuz kwenye gunia
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom