naomba msaada kwa yeyote mwenye ufaamu kuusu ili plz. TGSS 12, NI SAWA NA SHILINGI NGAPI NGAZI YA MUSHAARA WA SERIKALI?
sawa lakini mi najuwa kuwa serikalini iyo grade nazani ni costant so TGSS12 NI KIASI GANI? WJF
Labda kuna ktu hukijui, seriaklini kuna category tofauti za mishahara. km madaktari, walimu wa vyuo na sekondari, wafanyakazi wa agencies kama tra, tanapa, wote hao viwango vyao vyamishahara havifanani, kwa hiyo we sema uko sekta ipi ili ueleweshwe maana hiyo scale in walakini, hebu iangalie halafu uliza tena, kuna kitu umekikosea kwa hizo herufi, TGTS, PUTS, TGPS nk ndio scale sahihi na sio hiyo TGSS. Usiwe mbishi angalia utakuwa umedesa sivyo mkuu, hapo umedesa 'fugu' mkuu.
TGSS/TGS ipo kwenye salary scales za serikali kama ilivyo kwa TGTS na nyinginezo. Ila alichokosea ni kwamba kuna daraja ameruka hapo yaani inaweza kuwa TGS B 1, TGS D 12, TGS F 12 n.kSafi mwelimishe atambue kuwa ni TGTS sio TGSS
naomba msaada kwa yeyote mwenye ufaamu kuusu ili plz. TGSS 12, NI SAWA NA SHILINGI NGAPI NGAZI YA MUSHAARA WA SERIKALI?
sawa lakini mi najuwa kuwa serikalini iyo grade nazani ni costant so TGSS12 NI KIASI GANI? WJF
sawa wa kuu, mi nimesoma chuo KIKUU UCLUS/ARDHI, nina 1st degree je, mushara wa kuangia ni ngazi gani pia ni sawa na t.shilingi ngapi?, plz naomba mchanganuo, niayo tu but apa tunaelimishana kisera not otherwise!
wewe mrundi,mkongo,mrwanda?mudomowe chaka kweli ata akili una inaonesha mudomo unalia na unatolea uchafu. acha majungu we kama una cha kuandika si lazima kuundika kitu chochote. koma tena plz plz
wewe mrundi,mkongo,mrwanda?mudomo
we chaka kweli ata akili una inaonesha mudomo unalia na unatolea uchafu. acha majungu we kama una cha kuandika si lazima kuundika kitu chochote. koma tena plz plz
Karudia yaleyale, teh teh teh, JF pazuri jamaniwe chaka kweli ata akili una inaonesha mudomo unalia na unatolea uchafu. acha majungu we kama una cha kuandika si lazima kuundika kitu chochote. koma tena plz plz
naomba msaada kwa yeyote mwenye ufaamu kuusu ili plz. TGSS 12, NI SAWA NA SHILINGI NGAPI NGAZI YA MUSHAARA WA SERIKALI?