Inategemean na chuo mkuu vyuo na scheme yake..Mfano: Ngazi ya degree
Admission officer
Examination officer
Warden
e.t.c
Ahsante
Ngoja tutors, lecturers na academicians wa pale vimbweteni waje ku-critisize hoja yako hii.Inategemean na chuo mkuu vyuo na scheme yake..
Ila kama chuo kipo chini ya wizara basi salary schemes itakuwa ya serikali ya kawaida ...
Utofauti ni kuwa unakuwa na posho na overtime na marupurupu kama kawaida wakati hao ma tutor, lecturer na wakufunzi wengine hawarambi posho yoyote zaidi ya mishahara Yao na in short kwenye mataasisi ya vyuo Bora uwe staff wa kawaida ila unakitengo utakula mema ya nchi kuliko uwe lecturer alafu upo upo tu...
Lecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyooNgoja tutors, lecturers na academicians wa pale vimbweteni waje ku-critisize hoja yako hii.
Ila ujue wanafaidi kufurahisha macho yao na totooziiii.
Vyuoni totoz utazichoka tu mwisho wa siku pesa ndio Kila kitu..Ngoja tutors, lecturers na academicians wa pale vimbweteni waje ku-critisize hoja yako hii.
Ila ujue wanafaidi kufurahisha macho yao na totooziiii.
Vyuoni totoz utazichoka tu mwisho wa siku pesa ndio Kila kitu..
Hahahaha lecturer wa chuo gani hicho..??? South Africa au?Lecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyoo
Hujitambui kumbe. Hiyo milioni 5 nadhani ni kwa madokta na maprofesa? Wakulungwa wasio academicians (taasisi, hamashauri, mikoani, mawizarani n.k) bado wana wapiga gepu sana hao lecturers wako, bila kusahau marupurupu.Lecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyoo
Uliza acha ligi, nina kaka angu kaajiliwa mwaka juzi ni lecturer pale institute of social work kipo sinza bamaga analipwa million 5 na laki saba, take home ni million nne na laki tisaHahahaha lecturer wa chuo gani hicho..??? south Africa au?
Acha kuota dogoLecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyoo
Watu wa mpwayungu mnaaibisha bwanaLecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyoo
Ahsante mkuu kwa mchango wako.Inategemean na chuo mkuu vyuo na scheme yake..
Ila kama chuo kipo chini ya wizara basi salary schemes itakuwa ya serikali ya kawaida ...
Utofauti ni kuwa unakuwa na posho na overtime na marupurupu kama kawaida wakati hao ma tutor, lecturer na wakufunzi wengine hawarambi posho yoyote zaidi ya mishahara Yao na in short kwenye mataasisi ya vyuo Bora uwe staff wa kawaida ila unakitengo utakula mema ya nchi kuliko uwe lecturer alafu upo upo tu...
Huu ni Uongo, huwezi kuwa na salary ya 5.7M halafu take home iwe 4.6MUliza acha ligi, nina kaka angu kaajiliwa mwaka juzi ni lecturer pale institute of social work kipo sinza bamaga analipwa million 5 na laki saba, take home ni million nne na laki tisa
Mkuu laki 9 kama laki 9 ?Nahisi itakuwa kwenye laki9.
Mchango wako ni muhimu karibuHuu uzi wa watoto wa shule, kama hujui schemes za malipo utawapotosha wengine kama mnavyopotoshana hapa
Lecture mwenye level ipi ya elimu, au ulimaanisha maprofesa?Lecture analipwa kwa mwezi zaidi ya million tano, unakuja kumlinganisha na wafagiagi wa hostel na vyoo
Kila chuo kina schemes zake so havifanani na utaambulia kuona scales tu na sio figures, kama unavyoona kwenye matangazo ya ajiraMchango wako ni muhimu karibu