Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,624
- 272,378
Wa kwetu si walisema anapokea mil 7 , halafu mil 4 analipa kodi !
Hebu tuwekee mshahara wa Magufuli hapa ili tuwashushue walioleta hoja hii .Watu wamekosa FACT wanaropoka kweli nimeamini magufuli ni kiboko ya MAFISADI NA MALARUSHWA
Kama data ni za uongo basi wamiliki wa website washitakiwe nasio kumrukia mleta mada.Kweli humu JF kuna kizazi cha nyoka na Wagalatia pia.
Hapo alichoeleza ni FACTS.
Fungua hiyo link ya "www.mywage.co.za."
Then nenda "salaries"
And then fungua "african politician salaries". Hapo kila kitu kimewekwa wazi.
Mtoa mada yupo sahihi labda kama kuna error kwenye currency conversion.
Mkuu anatudanganya sana.
Swala si nani kakusanya data swala ni kwamba aliyeleta mada kaleta kiitikadi zaidi bila kujithibitisha kama data zipo authentic. Ukileta mada kishabiki kwa wenye akili timamu si ngumu kugundua umeelemea wapi kiitikadi ndiyo maana watu wanadhani wewe ni CHADEMA.Kwa akili yako unafikiri data hizi zimekusanywa na Chadema.
Fact kwa mtu mvivu kama wewe lakini kwa wenye akili timamu hawadanganywi na vi website uchwara vya south Africa.Kweli humu JF kuna kizazi cha nyoka na Wagalatia pia.
Hapo alichoeleza ni FACTS.
Fungua hiyo link ya "www.mywage.co.za."
Then nenda "salaries"
And then fungua "african politician salaries". Hapo kila kitu kimewekwa wazi.
Mtoa mada yupo sahihi labda kama kuna error kwenye currency conversion.
Mkuu anatudanganya sana.
Kukusaidia kama hao waongo wameweka Obama anapata equivalent na dollar laki 4.kwa mwaka mshahara ambao ni kweli halafu waziri wake wa nje Clinton anapata equivalent na dollar milioni sita kwa mwaka. Jiulize kama wwmeshindwa kuweka ukweli mshahara ambao si wa siri wamewezaje kupata mishahara ya kina mugabe ambayo ni ya siri?Kweli humu JF kuna kizazi cha nyoka na Wagalatia pia.
Hapo alichoeleza ni FACTS.
Fungua hiyo link ya "www.mywage.co.za."
Then nenda "salaries"
And then fungua "african politician salaries". Hapo kila kitu kimewekwa wazi.
Mtoa mada yupo sahihi labda kama kuna error kwenye currency conversion.
Mkuu anatudanganya sana.
Kujadili jambo siyo lazima liwe la kweli, hata lisilo la kweli hujadiliwa then conclusion hufikiwa.Swala si nani kakusanya data swala ni kwamba aliyeleta mada kaleta kiitikadi zaidi bila kujithibitisha kama data zipo authentic. Ukileta mada kishabiki kwa wenye akili timamu si ngumu kugundua umeelemea wapi kiitikadi ndiyo maana watu wanadhani wewe ni CHADEMA.
Uwongo utajadiliwaje? nimeweka kiitikadi sababu moja kubwa ukiona habari hata iwe nzuri kiasi gani ukiona ina walakini na wewe ukaileta hapa ukijua fika itajadiliwa zaidi kiitikadi basi lazima tujiulize kilichokusukuma kuileta hii habari hapa na jibu lake litakua kiitikadi. Na umefaulu kwa hilo ila tatizo ni moja kuna wengine hua tunajaribu ku research hizo source. kama nilivyokuambia nilitaka kukuamini ila hiyo source yako ni majanga sana. uki search katika kila kona ya internet huwezi kupata mishahara ya viongozi wa Afrika ya ukweli zaidi ya kubambikiwa tu maana nimekuuliza hapo juu unieleze kama unaufahamu mshahara wa mbunge wako zaidi ya marupurupu wanayoyapata jibu sijapewa mpaka sasa itakuwaje ujue mshahara wa rais???? jaribu mara ijayo kuleta mada kama hizi lakini ufahamishe jamii kama huna uhakika na source hivyo huwezi kushitakiwa ama ulaumiwa. Hujaona CNN ama BBC wakileta video za ISIS huwa wanasema onyo "HAZIJATHIBITISHWA"Kujadili jambo siyo lazima liwe la kweli, hata lisilo la kweli hujadiliwa then conclusion hufikiwa.
"How Europe undeveloped Africa" Disicuss. Sentensi hii haina jibu la yes or no.
Halafu kuleta kiitikadi ndiyo kitu gani au wewe ndiye unawaza kiitikadi, otherwise utakuwa na tatizo.
Hahahaa eti uongo huwa haujadiliwi, kwa hiyo mada zote humu ni za ukweli, hata topic ya "rais ni dikteta uchwara" ni ukweli?Uwongo utajadiliwaje? nimeweka kiitikadi sababu moja kubwa ukiona habari hata iwe nzuri kiasi gani ukiona ina walakini na wewe ukaileta hapa ukijua fika itajadiliwa zaidi kiitikadi basi lazima tujiulize kilichokusukuma kuileta hii habari hapa na jibu lake litakua kiitikadi. Na umefaulu kwa hilo ila tatizo ni moja kuna wengine hua tunajaribu ku research hizo source. kama nilivyokuambia nilitaka kukuamini ila hiyo source yako ni majanga sana. uki search katika kila kona ya internet huwezi kupata mishahara ya viongozi wa Afrika ya ukweli zaidi ya kubambikiwa tu maana nimekuuliza hapo juu unieleze kama unaufahamu mshahara wa mbunge wako zaidi ya marupurupu wanayoyapata jibu sijapewa mpaka sasa itakuwaje ujue mshahara wa rais???? jaribu mara ijayo kuleta mada kama hizi lakini ufahamishe jamii kama huna uhakika na source hivyo huwezi kushitakiwa ama ulaumiwa. Hujaona CNN ama BBC wakileta video za ISIS huwa wanasema onyo "HAZIJATHIBITISHWA"
Nilijitahidi ni kukueleza kuwa kila mara usipende kukurupuka uwe wa kwanza kuleta mada ati sababu umeiona katika internet na zaidi ya hapo nimefurahi kwamba umekubali kuwa hii habari yako haina ukweli wowote maana zaidi ya kuleta hoja tofauti hujaitetea kama ni ya kweli. Hilo nimefurahishwa nalo mwisho nimejitahidi kujadili hili ili nikuelimishe kidogo maana ulichokifanya ni kukurupuka ulipoona kuna majina ya kina Mugabe ukadhani kuna ukweli humo lakini kama ungeingia deep usingeleta hii habari hapa. Naomba nisikukatishe tamaa kama uliileta hii habari kwa nia njema mara zote ukiona kuna lolote lile ambalo unadhani lina ukweli ndani yake usisite kulileta hapa maana hata kama unalifahamu nusu nusu kuna watu watakusaidia kuliweka sawa.Hahahaa eti uongo huwa haujadiliwi, kwa hiyo mada zote humu ni za ukweli, hata topic ya "rais ni dikteta uchwara" ni ukweli?
kama unajua data ni za uongo wakati umesema uongo huwa haujadiliwi, kwa nini unaendelea kujadili, poor you, tuendelee kujadili.
Huna lolote, nitaendelea kuziamini kuwa ni data za kweli hadi hapo utakapotuletea unazosema za kweli, kama huna you better keep quiet.Nilijitahidi ni kukueleza kuwa kila mara usipende kukurupuka uwe wa kwanza kuleta mada ati sababu umeiona katika internet na zaidi ya hapo nimefurahi kwamba umekubali kuwa hii habari yako haina ukweli wowote maana zaidi ya kuleta hoja tofauti hujaitetea kama ni ya kweli. Hilo nimefurahishwa nalo mwisho nimejitahidi kujadili hili ili nikuelimishe kidogo maana ulichokifanya ni kukurupuka ulipoona kuna majina ya kina Mugabe ukadhani kuna ukweli humo lakini kama ungeingia deep usingeleta hii habari hapa. Naomba nisikukatishe tamaa kama uliileta hii habari kwa nia njema mara zote ukiona kuna lolote lile ambalo unadhani lina ukweli ndani yake usisite kulileta hapa maana hata kama unalifahamu nusu nusu kuna watu watakusaidia kuliweka sawa.
Unamuamini vipi mtu aliyedanganya kwamba hakuna mtoto wa Masikini atakayefukuzwa shule au atakayekosa mkopo , HUKU AKIJUA SI KWELI ?jpm alisema ni 9.5 mkuu hiyo uongooooooooooo
Hiyo taarifa umeiamini?You're barking at the wrong tree, waliokusanya data sio mimi ni www.mywage.co.za.
granted.Ila wakwetu kwakweli hata alipwe Billion 1 per month mimi sijali anautendea kazi mshahara sio fisadi wala hana hiyo kitu.