- Thread starter
- #101
Nimeiamini hadi utakapoleta yako ya ukweli.Hiyo taarifa umeiamini?
Nimeiamini hadi utakapoleta yako ya ukweli.Hiyo taarifa umeiamini?
Vichaa wote, ukimuuliza kama ni kichaa atakataa, huamini ana akili kuliko walio wazima. Kati ya aliyeileta taarifa na wewe unadhani nani hana akili?Ndo maana nimesema hapa kuna mataahira watakamatwa kwa sababu ya kuingia mazima. What has happened to common sense??