Mishahara mipya ya walimu

na hakuna rangi mtaacha ona hapa tanzania,mtakula vumbi la chaki mpaka yesu arudi.wenzenu wahasibu,wachumi na wanasheria wanakula maisha kwenye ofisi zenye full viyoyozi.na hawawazi masuala ya mshahara kama nyie maticha.

f**k u
 
Wanajamii kwa ànaefaham mishahara iliyoongezwa juzi na serikali aniambie imeongezwa kwa asilimia ngapi?na mshahara wa mwalimu mwenye shahada.

Ni 23.5% tu kwa walimu wote..piga mahesab then weka makato uone mwl anavyochezewa akili...
 
Yani badala utufundishie wadogo zetu huko,umekaa kuwazia mshahara tu.kwanza ualimu ni wito,hata ukifanya kazi bure pasipo kulipwa chochote ni sawa tu.over

Nakutukana kwa jina la shetani LUCIFER! Awe mshauri wako daima na vizazi vyako vijavyo.
 
Mkuu Perry taratibu huo mdomo wako tusije tukakulimboka
Yani badala utufundishie wadogo zetu huko,umekaa kuwazia mshahara tu.kwanza ualimu ni wito,hata ukifanya kazi bure pasipo kulipwa chochote ni sawa tu.over
 
Last edited by a moderator:
Perry, unatafuta umaarufu kwenye JF, sasa tutakuonaje? Ila najua wazazi wako wote ni waalimu. Sifa za kijinga tu
 
Sasa elfu ishirini ni ndogo..?! piga calculation ya mwaka mzima ni ngapi...?!

Ili kujua kama ni ndogo au kubwa, nakushauri usisahau kujumlisha makato kama; CWT, NSSF..., kodi, gharama za mchakato wa mshahara, kuna wanaokatwa gharama za mwenge, bima ya afya, mkopo wa HESLB (kwa wale walionufaika)n.k....
Yatupasa kutafakari upya maslahi ya watumishi wa umma nchini Tanzania.
 
poa kuandika sijui ww unaejua lakini haufahamu nini kilichokuwezesha kufika hapo ulipofika kama sio waalimu waliokutoa kwenye ujinga acha dharau ma friend jitambue!!!!!
 
Back
Top Bottom