jocktan kiyombo
Member
- Aug 23, 2016
- 15
- 4
Kwel september mosi inaleta maendeleo, maana nilisikia ccm 30.08.2016 watakuwa namaandamano sijui yakuwashukuru wananch mara jwtz september mosi watafanya usafi nchi nzima mara september mosi kunakuongezewa mishahara yawafanyakaz wa umma duuu, bado wengine tunawasubil wajitokeze, duuu Kwel u. K. U. T. Amkuu, kuanzia septemba mishahara itapanda na watumishi wanaostahili kupanda vyeo watapandishwa na kuanza kulipwa mishahara yao mara moja.