Tetesi: Mishahara kupanda maradufu!

Status
Not open for further replies.
Kwa nini kila kitu kinaangukia September mosi?
September 1:
Maandamano ya UKUTA nchi nzima.

September 1:
Siku ambayo jeshi la wananchi Tanzania litafanya usafi huko Arusha.

September 1:
Imetajwa kua siku ya kuongezwa mishahara kwa wafanyakazi wa uma, ikiwemo kupandishwa vyeo kwa wanao stahili.

September 1:
Dr Slaa ana timiza mwaka mmoja kuanzia pale 1 September 2015, alipo tangaza rasmi kujingatua Chadema na kujiondoa kwenye siasa.
 
Bila kuidhinishwa na Bunge? Haimo kwenye bajeti labda upelekwe upya pamoja na gharama za kuhamia Dodoma! Kurupuka at work once again!

Aliyekwambia bajet itabadilika ni nani.
Kilichobalika ni ile saving kupandishwa kwa wengine bunge la nini hapo.

Muwe mnakaa kimya kama hamuelewi
 
H
September 1:
Maandamano ya UKUTA nchi nzima.

September 1:
Siku ambayo jeshi la wananchi Tanzania litafanya usafi huko Arusha.

September 1:
Imetajwa kua siku ya kuongezwa mishahara kwa wafanyakazi wa uma, ikiwemo kupandishwa vyeo kwa wanao stahili.

September 1:
Dr Slaa ana timiza mwaka mmoja kuanzia pale 1 September 2015, alipo tangaza rasmi kujingatua Chadema na kujiondoa kwenye siasa.

Hilo la ukuta halipo ni mazingaombwe
 
Kwa bajeti ipi iliyopitishwa na bunge, itakuwa ni kuingilia muhimili mungine wa dola
Wamezoea mkubwa wao yeye anaamua bila bunge hata pale ambapo katiba inalazimu hivyo. Ila hili linawezekana kwa amri za kisiasa tu maana mambo yanayohusu fedha hata ukitoa amri, kama fedha hakuna ni hakuna tu...

Huyo ameamua tu kuongeza idadi ya threads alizoanzisha.
 
Mleta mada kama namuona vile! Anacheeeekaaaa anaposoma baadhi ya comments hasa za wale wanaoonekana kupata faraja ya ghafla!
 
Je zimeokolewa pesa za watumishi wangap? Je itaweza ku-cover watumishi wote wa umma consistently mpaka wakistaafu? Labda iwe kada moja tu either walimu au polis
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom