Mishahara juu


chadema mngeongeza mshahara sh. ngapi?
 

Hapo ndio huwa nachoka ndugu yangu
 
wengi hawajui kwa nini wamelipa moja kwa moja bila kupitia halmashauri zao,hiyo yote ni janja ya CCM kukwepa maswali ya kwenye control sheet mana itaonyesha ongezeko sahihi.serikali ya kihuni hii,inatangaza tofauuti na ilichofanya.tuseme waziri hajui madhara ya kutangaza neema halafu akaongeza pesa kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…