Bado Niponipo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2008
- 680
- 168
- Thread starter
- #21
Hata kama tunawasaga, haki yao tuwape... Nina washikaji zangu nane wanafanya kazi pale kama waandishi, wote kwa pamoja @ take home yao ni 510,000 (Lakini tano na elfu kumi). Na huwa tunaoneshana Salary Slip kila nikija likizo, lakini hawana marupurupu mengine Period.
Mkuu naona ikabidi muonyeshane hadi salary slips, safi.