shegi (mnyoo wa nywele)
skuna= viatu vyenye chuma chini
mashati ya bahama
tinabuu = suruali za mbano juu
pensi = kaptula
belon = tshirt
mtindiga = mshamba
wowowo = ****** makubwa
Nunda, kingwangwa, kijeba = mfupi
damu damu = rafiki wa karibu
Mitikasi = shughuli
Mjani = pesa
mizengwe = upumbavu
Mnoko = mkali
mshua = baba
Mkuda = mkali
Michuzi = pesa
jua kali = shida
kuingia mtini = kupotea/kuondoka
kupigwa kibuyu = kukataliwa
kuzengea = kutongoza
No sweti = hakuna neno
Nyapu = msichana