BatteryLow
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 446
- 149
Nilikuwa napitia blog moja nikakuta habari za Mkuu m1 wa Mkoa alikuwa kwenye ziara, kwenye comments mtu akaandika 'Mkuu ana chura', nikashindwa kuelewa maana yake, wanaoelewa naomba kuelimishwa
Kuuliza jf ndo nimeona nitapata majibu muafaka buana!kwa nini hukuuliza hukohuko ulikoliona ilo neno
Kwa maana hiyo wakuu wetu wengi wana chura, du! Ina maana hicho ndo kigezo cha kupewa ukuu?chura ni kalio kubwa
Ila kama ulikuwa unajua vile nini maana ya chura ila Sema tu umeuliza ili kutaka kujua zaidi mkuu BatteryLowKwa maana hiyo wakuu wetu wengi wana chura, du! Ina maana hicho ndo kigezo cha kupewa ukuu?
Nilikuwa napitia blog moja nikakuta habari za Mkuu m1 wa Mkoa alikuwa kwenye ziara, kwenye comments mtu akaandika 'Mkuu ana chura', nikashindwa kuelewa maana yake, wanaoelewa naomba kuelimishwa
Nilikuwa napitia blog moja nikakuta habari za Mkuu m1 wa Mkoa alikuwa kwenye ziara, kwenye comments mtu akaandika 'Mkuu ana chura', nikashindwa kuelewa maana yake, wanaoelewa naomba kuelimishwa
Huyo atakuwa yule mkuu wa mkoa unaolima gesi kwa wingi.. Kule ambapo mtu wao wanasema ntu, mshale wao wanasema nchale...
Hayo ni maneno ya 'kitaalam'. Ungekuwa na taaluma husika wala usingepata taabu...Nilikuwa napitia blog moja nikakuta habari za Mkuu m1 wa Mkoa alikuwa kwenye ziara, kwenye comments mtu akaandika 'Mkuu ana chura', nikashindwa kuelewa maana yake, wanaoelewa naomba kuelimishwa
Huo mkoa siku hizi unaitwa 'gesini'.Huyo atakuwa yule mkuu wa mkoa unaolima gesi kwa wingi.. Kule ambapo mtu wao wanasema ntu, mshale wao wanasema nchale...
Ungefanya la maana sana kama ungeweka picha ya huyo mkuu wa mkoa!!sasa sisi tutaaminije kama kaficha huyo chura!!kwanza tayari huyo ni nyaraka za serikali kwa nini ana chura!!Nilikuwa napitia blog moja nikakuta habari za Mkuu m1 wa Mkoa alikuwa kwenye ziara, kwenye comments mtu akaandika 'Mkuu ana chura', nikashindwa kuelewa maana yake, wanaoelewa naomba kuelimishwa
Ww hunitakii mema ww, sheria ya mtandao...Ungefanya la maana sana kama ungeweka picha ya huyo mkuu wa mkoa!!sasa sisi tutaaminije kama kaficha huyo chura!!kwanza tayari huyo ni nyaraka za serikali kwa nini ana chura!!
Usiogope bana wee tuma kwani huku watajua nani??Ww hunitakii mema ww, sheria ya mtandao...