nisikiavyo ni wasichana wanasomesha na mama salma kikwete ila ni waathirika(HIV+) na kwa mujubu wa taarifa zisizo rasmi wamesambazwa vyuo vingi nchi nadhani wadau wenye kufahamu vyema watakupa maujanja zaidi ..
raha kwelikweli kila mwaka chuo first huwa wanapewa jina kutokana na matukio mwaka wetu
tulikuwa tunaitwa MAPANKI../ enzi kioindi hicho imezuka ile issue ya sangara na minofu...i remember those day
raha kwelikweli kila mwaka chuo first huwa wanapewa jina kutokana na matukio mwaka wetu
tulikuwa tunaitwa MAPANKI../ enzi kioindi hicho imezuka ile issue ya sangara na minofu...i remember those day