Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
WIKI iliyopita Marekani ilitangaza kusitisha kutoa fedha kwa Tanzania kiasi cha Shs. trilioni moja kupitia Shirika lake la Maendeleo ya Milenia (Millennium Challenge Corporation – MCC).
Sababu ambazo zimekuwa zikitolewa baada ya Marekani kusitisha msaada huo ni kutokuridhishwa na hali ya utawala bora nchini Tanzania, hasa suala la kisiasa la Visiwa vya Zanzibar na marudio ya uchaguzi, pamoja na sheria kandamizi zinazominya uhuru wa habari, hususan Sheria ya Makosa ya Mitandao ya mwaka 2015.
Kwa habari zaidi, soma => Misaada Inatuvua Nguo, Lazima Tukusanye Kodi Tujitegemee | Fikra Pevu