Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,942
Kusimimwa kwa maaskofu wateule wasaidizi Henry MchaMungu na Msombe kuwa wasaidizi wa RuwaichiTushirikisheni tafadhali - kutakuwa na nini huko?
Kusimimwa kwa maaskofu wateule wasaidizi Henry MchaMungu na Msombe kuwa wasaidizi wa RuwaichiTushirikisheni tafadhali - kutakuwa na nini huko?
Vatcan kumejaa makadnari na maaskofu mashoga na wafiraji, ndio mitume hao?Kanisa moja tu takatifu la mitume😍😍
Proud Catholic
Naona unatafuta kupakatwaVatcan kumejaa makadnari na maaskofu mashoga na wafiraji, ndio mitume hao?
Kijana kunywa maji fundo 7 then relax.Vatcan kumejaa makadnari na maaskofu mashoga na wafiraji, ndio mitume hao?
Amefariki mwaka jana au juzi..rest in peace faza MkwiduFather Cassian Mkwidu bado yupo mara nyingi alikuwa anakuwa msaidizi wa Askofu Mkude.
R.I.P Father Cassian Mkwidu kitambo sijapata taarifa zake.Amefariki mwaka jana au juzi..rest in peace faza Mkwidu
Hii imebaki kama protokali tu lakini ni nadra Sana kufanya kazi Ili kuepuka Askofu mstaafu kumu influence Askofu mpya, lakini vile vile figisu ni nyingi Sana Kwa wale wanaopendekezwa na Askofu Jimbo.Kifupi anachaguliwa na askofu wake.. huwa anapeleka majina matatu kila baada ya miaka 3
Gwajima kitu pekee ambacho anaweza kujifunza kwa wakatoliki ni ushoga.Makanisa ya Kihuni kama gwajima wana la kujifunza hapo
Vipi kuhusu hao maaskofu na makadinari mashoga wanaofirwa?Hakuna ugomvi wala nini! Sasa mtu anaanzisha kanisa lake, analisajili, na mwisho anajiita Askofu/ Nabii/ Mtume/Takataka gani sijui!!
Ukimuangalia tu kwa nje, unaona kabisa ni mpigaji, mzinzi, mwizi, muuza madawa ya kulevya, chapombe, nk.
Wa mgeta na matombo ni wakristo, lakini wa mkuyuni ni waislam sana.Waluguru tuko wa dini zote
Ukikutana na waislamu waluguru utasema hivyohivyo kindakindaki ni mixer
WaueeèHakuna ugomvi wala nini! Sasa mtu anaanzisha kanisa lake, analisajili, na mwisho anajiita Askofu/ Nabii/ Mtume/Takataka gani sijui!!
Ukimuangalia tu kwa nje, unaona kabisa ni mpigaji, mzinzi, mwizi, muuza madawa ya kulevya, chapombe, nk.
Hujui kitu, shut the fk apuDini za wakoloni, yaani kiongozi wa morogoro anateuliwa na beberu!
Wamewahi kuku sodomise ?Vatcan kumejaa makadnari na maaskofu mashoga na wafiraji, ndio mitume hao?
Ikisimama pandaGwajima kitu pekee ambacho anaweza kujifunza kwa wakatoliki ni ushoga.
Four in five Vatican priests are gay, book claims
French journalist’s book is a ‘startling account of corruption and hypocrisy’, publisher sayswww.theguardian.com
Wafia dini mliopiyia madhabahuni mkashika shikwa na mapadri makalio hua hamtaki kuchalenjiwa, wewe mtu anahudumia Morogoro achaguliwe Italy, hizo ni akili au mavi?Hujui kitu, shut the fk apu
Ni AKILI.Wafia dini mliopiyia madhabahuni mkashika shikwa na mapadri makalio hua hamtaki kuchalenjiwa, wewe mtu anahudumia Morogoro achaguliwe Italy, hizo ni akili au mavi?
Nisamehe mkuu. Maswali yameisha kiongozi.Ni AKILI.
uliza swali lingine
Yale madeni ya miezi sita sita nayo ameyarithi?Askofu mteule ni Lazarius Msimbe anachukua nafasi ya Telesphori Mkude