Ukuta umejengwa kwa sababu maalum. Ili Kagame achukue madini bila shida.Merelani ukuta umejengwa na unalindwa na jeshi letu imala kabisa sasa kila kukicha madini yanakamatwa nnje ya ukuta tatizo lipo wapi? Wanajeshi wanahusika katika hilo au wachimbaji wanawazindi uwezo wa kutolosha madini yetu?
Lakini umeuelewa Uzi?
Tulekebishe
Sawa mwalimu wa chekechea
Mirerani ukuta umejengwa na unalindwa na jeshi letu imara kabisa sasa kila kukicha madini yanakamatwa nje ya ukuta tatizo lipo wapi?
Wanajeshi wanahusika katika hilo au wachimbaji wanawazindi uwezo wa kutorosha madini yetu?
Lakini mle ndani si wamefungua soko la madini au lipo nnje ya paleWanaweza kufuata sheria ya kuyatoa kutoka migodini mpaka nje ya ukuta kwa kufuata sheria, ila kuyatoa ndani ya nchi kwenda nchi nyingine wasifuate sheria, ndio ajue mtoto akibalehe hata uweke geti la umeme atatoka tu akatulize genye zake...nguvu kubwa akili kidogo... Taabu ya kula ugali mkubwa mboga kidogo utotoni, unaambulia mabavu tu..
Suluhisho siyo ukutaMirerani ukuta umejengwa na unalindwa na jeshi letu imara kabisa sasa kila kukicha madini yanakamatwa nje ya ukuta tatizo lipo wapi?
Wanajeshi wanahusika katika hilo au wachimbaji wanawazindi uwezo wa kutorosha madini yetu?
Mle ndani hakuna soko wamefungua soko mjini na KIA, ..inawezekana huko wanakopeleka ndio inalipa zaidi..Serikali inaweza kua inapanga bei za madini kama inavyopanga za mazao.Lakini mle ndani si wamefungua soko la madini au lipo nnje ya pale
kadi ipi ?
una kifuaduro wewe.Yako ya uanachama wa CCM
una kifuaduro wewe.
sijawahi kumiliki huo ugoro.Asilimia kubwa yaani 99.7% mnazo na mnazitunza vizuri sana.. wengine mnatembea nazo kwa viwaleti vyenu kuzitumia kuringishia ati nanyi mpo kwa sistim.. ila mkija humu mnapiga porojo tu... ha ha haaa usisahau kunisumulia kifuaduro ukoje.. ugua pole.