Miradi ya ujenzi wa nyumba mitandaoni

Miradi ya ujenzi wa nyumba mitandaoni

Nima_

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
249
Reaction score
232
Kuna jamaa wanaitwa Fine Homes wana miradi ya kujenga nyumba kwa bei nzuri sana na nyumba zao ni za kisasa kwelikweli kwa mujibu wa picha zinavyoonyesha kwenye instagram. Kuna mtu ambaye ameshafaidika na miradi hii ili kutupa uhakika wa uhalali wa miradi hii?
 
Kwa bei nzuri unamaanisha kidogo? Sio kweli wanafanyia marketing tu ila siku mkianza ndio utajua ni kubwa. Hata mafundi wanatabia ya kupunguza gharama mkiwa mnafanya tathmini, ila mkiingia field mambo yanakua mengi. Huwa wanasema boss ukimpigia hesabu sahihi ikiwa kubwa anaogopa na anaweza ahirisha, ila ikiwa ndogo mkaanza hawezi kuishia njiani atakopa ili kazi iishe
 
Back
Top Bottom