Miradi mitano ya kikmkakati ambayo serikali yafaa kuitekeleza ili baada ya miradi ya kikmkakati iliyopo kukamilika

gambagumu

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
1,819
2,429
Salama wakuuu. ..

Ni ukweli usione na shaka kwamba pamoja na mapungufu yake hayati Magufuli alikua na uthubutu mkubwa WA kuanzisha miradi ya kikmkakati
Miradi hii ambayo ni pamoja na reli ya sgr, bwawa la kufua umeme ya Nyerere , bomba la mafuta kuhamia Dodoma ,ununuzi WA ndege nk inatarajia kubadisha sura ya nchi kiuchumi kwa kiasi kikubwa

Nampongeza sana Samia kwa kuisimamia na kuendeleza miradi hii kwa ufaninisi hasa kwa usimiaji wake mzuri WA uchumi ambao unaqurantee ukamilikaji WA miradi hii

Ni ukweli nchi kubwa zilitake off kiuchumi baada ya kuitekeleza miradi mikubwa ya kikmkakati mf marekana walipambana kutengeneza reli kuunganisha East cost na west cost, urusi pia ilijenga trans Siberian railroad,china ikajenga 3gorge hydro station

Miradi hii ilifanywa samba mba na miradi midogomidogo ya kuboresha sector umma kama elimu na afya.
Kwa mtazamo wangu napendekeza serikali kupanga na kuitekeleza miradi ya kikmkakati ifuatayo baada ya hii inayoendelea kukamilika .

1.Mradi WA Bandari kubwa bagamoyo.
2 mradi wa Lng
3 .mradi mkubwa WA kusambaza gesi asili majumbani na viwandani na kwa ajili ya matumizi ya magari.
4.mradi WA kikmkakati WA ujenzi WA nyumba za makazi na kuboresha mazingira ya mijini na vijijimi.
5.mradi WA umeme WA nguvu za nyuklia.

Miradi hii itazidi kufanya uchumi wetu kuwa imara na usio tetereka kirahisi na kutunza mazingira hasa kwa kutumia gesi asilia

Ni miradi gani unaona serikali ikitekeleza itasaidi nchi yetu kupiga hatua zaidi kiuchumi
 
Salama wakuuu. ..

Ni ukweli usione na shaka kwamba pamoja na mapungufu yake hayati Magufuli alikua na uthubutu mkubwa WA kuanzisha miradi ya kikmkakati
Miradi hii ambayo ni pamoja na reli ya sgr, bwawa la kufua umeme ya Nyerere , bomba la mafuta kuhamia Dodoma ,ununuzi WA ndege nk inatarajia kubadisha sura ya nchi kiuchumi kwa kiasi kikubwa
Nampongeza sana Samia kwa kuisimamia na kuendeleza miradi hii kwa ufaninisi hasa kwa usimiaji wake mzuri WA uchumi ambao unaqurantee ukamilikaji WA miradi hii
Ni ukweli nchi kubwa zilitake off kiuchumi baada ya kuitekeleza miradi mikubwa ya kikmkakati mf marekana walipambana kutengeneza reli kuunganisha East cost na west cost, urusi pia ilijenga trans Siberian railroad,china ikajenga 3gorge hydro station
Miradi hii ilifanywa samba mba na miradi midogomidogo ya kuboresha sector umma kama elimu na afya.
Kwa mtazamo wangu napendekeza serikali kupanga na kuitekeleza miradi ya kikmkakati ifuatayo baada ya hii inayoendelea kukamilika .

1.Mradi WA Bandari kubwa bagamoyo.
2 mradi wa Lng
3 .mradi mkubwa WA kusambaza gesi asili majumbani na viwandani na kwa ajili ya matumizi ya magari.
4.mradi WA kikmkakati WA ujenzi WA nyumba za makazi na kuboresha mazingira ya mijini na vijijimi.
5.mradi WA umeme WA nguvu za nyuklia.

Miradi hii itazidi kufanya uchumi wetu kuwa imara na usio tetereka kirahisi na kutunza mazingira hasa kwa kutumia gesi asilia
Ni miradi gani unaona serikali ikitekeleza itasaidi nchi yetu kupiga hatua zaidi kiuchumi
Nitampa kura yangu mgombea atakayekuja na Mpango wa mipango Miji na matumizi Bora ya Ardhi..

Hali ilivyo Sasa kwenye Miji yetu ni aibu na kichefuchefu..

Nimuombe Rais Samia aunde wakala anaejitegemea wa ku deal na Ardhi na Mipango Miji.
 
Ni miradi mizuri kwa uchumi wa Taifa lakini inachosha. Sisi jobless tunawazoom tu uchaguzi huu atucheki na kima lazima tuwe toxic mgombea atakayekuja na sera nzuri kuhusu ajira aijalishi chama gani tunapita naye kwa kura za kishindo tumechoka sasa na kejeri zao za kujiajiri wakati watoto wao wanawapa ubunge viti maalum
 
Nitampa kura yangu mgombea atakayekuja na Mpango wa mipango Miji na matumizi Bora ya Ardhi..

Hali ilivyo Sasa kwenye Miji yetu ni aibu na kichefuchefu..

Nimuombe Rais Samia aunde wakala anaejitegemea wa ku deal na Ardhi na Mipango Miji.

Nani amekuambia kura ina maana siku hizi? Ww tishia jambo jingine, lakini sio kura boss.
 
Back
Top Bottom