Mzee wa Malengo
Member
- Jul 29, 2022
- 21
- 42
Kichwa kinajieleza, hapa ningependelea tuweke video, picha na hata maelezo yanayohusu miradi inayotekelezwa na kila hatua iliyofikia ili kujuzana wapi tumetoka, wapi tupo na wapi tunaelekea.
Kama ambavyo tunafanya kwenye ile thread ya Nairobi vs Dar es salaam.
Naamini kuna watanzania wengi wapo kwenye miradi hii hivyo itakuwa vizuri wakishea pamoja nasi.
Mfano Dodoma kuna mradi wa msalato airport, Ikulu, ring road, majengo ya wizara na taasisi hivi vimefikia wapi.
Mwanza kuna kivuko cha Busisi n.k.
Karibuni
Kama ambavyo tunafanya kwenye ile thread ya Nairobi vs Dar es salaam.
Naamini kuna watanzania wengi wapo kwenye miradi hii hivyo itakuwa vizuri wakishea pamoja nasi.
Mfano Dodoma kuna mradi wa msalato airport, Ikulu, ring road, majengo ya wizara na taasisi hivi vimefikia wapi.
Mwanza kuna kivuko cha Busisi n.k.
Karibuni