Miradi Mikubwa Inayotekelezwa na Awamu ya 6 Mkoani Kigoma

RC Alitoa Clip Eti Zimebaki Kilometers 50
Sasa Jamaa Yangu Kaenda Kigoma Anasema Wanasiasa Waongo Hakuna Lolote
Yeye alikuta zimebakia km ngapi? Na in fact ni chini ya km 50 kutoka Tabora-Kigoma(Malagarasi-Ilunde).
 
Nitakuwa natoa mfululizo wa makala za Miradi mikubwa ya Maendeleo inayotekelezwa Kila Mkoa.

Ninaanza na Mkoa wa Kigoma.Unaweza sema Kigoma imependelewa au inastahili ila Kwa Sasa ni Kati ya Mikoa michache sana ambayo Ina miradi Mingi sana ya Maendeleo.

Baadhi ya miradi mikubwa ya Maendeleo inayoendelea na utekelezwaji Mkoani Kigoma ni hii ifuatayo,

  • Ujenzi wa Barabara Kuu za lami zaidi ya km 420
  • Ujenzi wa Barabara za mitaa km 10 chini ya Tactic
  • Ujenzi na Ukarabati wa Bandari ya Lagosa,Kibirizi
  • Ujenzi wa meli Mpya na Chelezo ya Kuundia meli
  • Ukarabati wa meli za mv Sangara na Mv Liemba Ziwa Tanganyika
  • Ujenzi wa Station kuu ya Sgr Kigoma
  • Ujenzi wa SGR Tabora-Kigoma(Main Camp ni Uvinza-Kigoma)
  • Ujenzi wa Soko Kuu la Mwanga-Tactic
  • Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Muhimbili
  • Ujenzi wa Tawi la Chuo Cha Uhasibu TIA
  • Upanuzi wa Chuo Cha Taifa Cha Hali ya hewa na Ufungaji wa radar
  • Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi
  • Ujenzi,ukarabati na upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Kigoma (Gombe-Mahare International Airport)
  • Ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha Umeme wa Kv 400 Nyakanazi-Kidahwe
  • Ujenzi wa Tawi la BoT Kanda ya Magharibi(Usanifu unaendelea)



My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa ya mabilioni ya pesa iliyomwagwa Mkoani Kigoma na awamu ya 6.

Waswahili Wana msemo kwamba kawia ila ufike,Kigoma Sasa wamefika.Hongera sana.



View: https://youtu.be/JVJoeRHDoAE?si=3R4uMkU-H1_BBzAl
 
Nitakuwa natoa mfululizo wa makala za Miradi mikubwa ya Maendeleo inayotekelezwa Kila Mkoa.

Ninaanza na Mkoa wa Kigoma.Unaweza sema Kigoma imependelewa au inastahili ila Kwa Sasa ni Kati ya Mikoa michache sana ambayo Ina miradi Mingi sana ya Maendeleo.

Baadhi ya miradi mikubwa ya Maendeleo inayoendelea na utekelezwaji Mkoani Kigoma ni hii ifuatayo,

  • Ujenzi wa Barabara Kuu za lami zaidi ya km 420
  • Ujenzi wa Barabara za mitaa km 10 chini ya Tactic
  • Ujenzi na Ukarabati wa Bandari ya Lagosa,Kibirizi
  • Ujenzi wa meli Mpya na Chelezo ya Kuundia meli
  • Ukarabati wa meli za mv Sangara na Mv Liemba Ziwa Tanganyika
  • Ujenzi wa Station kuu ya Sgr Kigoma
  • Ujenzi wa SGR Tabora-Kigoma(Main Camp ni Uvinza-Kigoma)
  • Ujenzi wa Soko Kuu la Mwanga-Tactic
  • Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Muhimbili
  • Ujenzi wa Tawi la Chuo Cha Uhasibu TIA
  • Upanuzi wa Chuo Cha Taifa Cha Hali ya hewa na Ufungaji wa radar
  • Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi
  • Ujenzi,ukarabati na upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Kigoma (Gombe-Mahare International Airport)
  • Ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha Umeme wa Kv 400 Nyakanazi-Kidahwe
  • Ujenzi wa Tawi la BoT Kanda ya Magharibi(Usanifu unaendelea)
  • Construction of Katosha Dry Port



My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa ya mabilioni ya pesa iliyomwagwa Mkoani Kigoma na awamu ya 6.

Waswahili Wana msemo kwamba kawia ila ufike,Kigoma Sasa wamefika.Hongera sana.



View: https://www.instagram.com/p/C2UYx9_tBnI/?igsh=Zmd4M3pzaXg0OWN3
 
Nitakuwa natoa mfululizo wa makala za Miradi mikubwa ya Maendeleo inayotekelezwa Kila Mkoa.

Ninaanza na Mkoa wa Kigoma.Unaweza sema Kigoma imependelewa au inastahili ila Kwa Sasa ni Kati ya Mikoa michache sana ambayo Ina miradi Mingi sana ya Maendeleo.

Baadhi ya miradi mikubwa ya Maendeleo inayoendelea na utekelezwaji Mkoani Kigoma ni hii ifuatayo,

  • Ujenzi wa Barabara Kuu za lami zaidi ya km 420
  • Ujenzi wa Barabara za mitaa km 10 chini ya Tactic
  • Ujenzi na Ukarabati wa Bandari ya Lagosa,Kibirizi
  • Ujenzi wa meli Mpya na Chelezo ya Kuundia meli
  • Ukarabati wa meli za mv Sangara na Mv Liemba Ziwa Tanganyika
  • Ujenzi wa Station kuu ya Sgr Kigoma
  • Ujenzi wa SGR Tabora-Kigoma(Main Camp ni Uvinza-Kigoma)
  • Ujenzi wa Soko Kuu la Mwanga-Tactic
  • Ujenzi wa Tawi la Chuo Kikuu Cha Muhimbili
  • Ujenzi wa Tawi la Chuo Cha Uhasibu TIA
  • Upanuzi wa Chuo Cha Taifa Cha Hali ya hewa na Ufungaji wa radar
  • Ujenzi wa Hospital ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi
  • Ujenzi,ukarabati na upanuzi wa uwanja wa Ndege wa Kigoma (Gombe-Mahare International Airport)
  • Ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha Umeme wa Kv 400 Nyakanazi-Kidahwe
  • Ujenzi wa Tawi la BoT Kanda ya Magharibi(Usanifu unaendelea)
  • Construction of Katosha Dry Port



My Take
Hiyo ni Baadhi tuu ya Miradi mikubwa ya mabilioni ya pesa iliyomwagwa Mkoani Kigoma na awamu ya 6.

Waswahili Wana msemo kwamba kawia ila ufike,Kigoma Sasa wamefika.Hongera sana.



View: https://www.instagram.com/p/C2cXZazCgwD/?igsh=azFkNnMweWQ3bmdu
 
Kumekucha Kigoma kazi imeanza 👇
Screenshot_20240124-053249.jpg
 
Back
Top Bottom